Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Miaka 52, chaguzi na haki ya kuwa huru ndani ya Zanzibar huru

Sasa ni mwaka 52 tangu Uhuru wa Disemba 1963 na Mapinduzi ya 1964 ambavyo, kwa njia moja ama nyengine, vilitarajiwa kuwapatia Wazanzibari fursa ya kujitawala wenyewe. Sijiweki kwenye ubishani wa kipi...

View Article


Wazanzibari kataeni kuabudu mizimu

OKTOBA, 1987, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alihutubia Baraza la Mapinduzi la Zanzibar juu ya kile kinachoweza kuelezewa kama “Mzimu wa Watu wa Kale” unaosumbua mustakabali wa siasa...

View Article


Miaka 52 na bado tuna fikra-pingu

Tukiwa tunaeleke kwenye Sherehe za Mapinduzi ambazo zimekuwa zikifanyika kwa miaka yote tokea kutokea kwa Mapinduzi ya 1964. Maana halisi ya sherehe hizo ni kukumbuka na kuadhimisha ukombozi wa...

View Article

Nipo madarakani kwa mujibu wa katiba – Dkt. Shein

“Tuko madarakani na uongozi wote wa serikali… yupo Makamu wa Kwanza wa Rais, Makamu wa Pili wa Rais na mawaziri” alisisitiza Dk. Shein na kuongeza kuwa hao wanaodai kujiondoa serikalini huo ni uamuzi...

View Article

Balozi Iddi usimchonganishe Magufuli na umma

Hivi karibuni, Balozi Seif Ali Iddi alisikika akisema mbele ya waandishi wa habari kwamba licha ya kuwa hajui kilichozungumzwa kati ya Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...

View Article


Dk. Shein anapojielekezea vidole vinne mwenyewe

Licha ya kuwepo mgogoro mkubwa wa kisiasa na kikatiba katika visiwa vya Zanzibar, kuanzia tarehe 3 Januari 2016, Dk. Ali Mohammed Shein pamoja na viongozi wote wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)...

View Article

Januari 12 iwe siku ya kuuelezea mkwamo Z’bar – AZAKI

Tunadhani viongozi wamepata muda wa kutosha kujadiliana na sasa ni imani yetu kuwa wakati umefika kwa viongozi wanaokutana kutoka hadharani ikiwezekana siku ya maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar,...

View Article

‘Usanii’ wa Zanzibar upigwe marafuku

Kati ya mambo muhimu yanayojadiliwa sana hapa nchini kwa sasa ni “mgogoro wa kisiasa Zanzibar”. Mgogoro huu si wa kwanza kusikika, ni mgogoro wa mwendelezo wa migogoro mingi iliyowahi kutokea huko...

View Article


CCM haina la kuomba radhi kwa “siasa za uchotara”

Taarifa iliyotolewa siku ya tarehe 12 Januari 2016 na Daniel Chongolo, aliyejitambulisha kuwa mkuu wa mawasiliano na umma wa Chama cha Mapinduzi (CCM) inasema chama hicho “kimesikitishwa sana na ujumbe...

View Article


Vijana CUF kutoshiriki uchaguzi wa marudio

Sisi Jumuiya ya Vijana CUF tunakubaliana na Uongozi wa CUF Taifa kuwa hakuna sababu yoyote ya kushiriki katika Uchaguzi wa Marejeo kwa sababu CUF ilishapewa ridhaa ya kuongoza nchi na wapiga kura...

View Article

“Sisi ni waungwana lakini si dhaifu”– Maalim Seif

Ni bahati mbaya sana kwamba wengine wanauchukulia uungwana na ustaarabu wetu kwamba labda ni dalili ya udhaifu na wanadhani labda wanaweza kutuburuza. Kwa hilo, nawaambia wazi kwamba WASAHAU. Nataka...

View Article

Siku ‘ujechajecha’ ulipohamia kwa wasomi wa SUZA

Ikiwa ni takribani miezi mitatu tokea Chama cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar kutuhumiwa kushirikiana na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kuufuta uchaguzi mkuu wa...

View Article

Vijana CCM wawajia juu walioyatafsiri mabango ya “siasa za uchotara”

Jumuiya yetu imeanza kuchukua hatua kali za kisheria kwa wote walio husika na kadhia hiyo kwa vile tayari tumeanza kuwafahamu waliofanya vitendo hivyo kupitia mamlaka za mawasiliano na vyombo vya dola,...

View Article


Dk. Shein aaswa asiipeleke nchi njia ya Burundi, Rwanda

  Tangu Aprili 2015 alipolazimisha kuteuliwa na chama chake cha CNDD-FDD kuwania urais na kushinda uchaguzi huo uliofanyika Julai, zaidi ya watu 400 wamekufa katika mapambano kati ya vikosi vya...

View Article

CCM ‘iwatose’ wabaguzi kwa maslahi ya demokrasia Zanzibar

Mimi ni zao la Zanzibar. Ni matokeo ya maelfu ya pepo za msimu zilizowapeperusha watu wa madau kutoka duniani kote kuja kwenye visiwa hivi viduchu vilivyochipuka katika maji vuguvugu ya Bahari ya Hindi...

View Article


Kwa la Zanzibar, Rais Magufuli hawezi kujifanya hahusiki

Makala ya Mheshimiwa Pius Msekwa, Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hapana shaka kada mkubwa wa Chama tawala cha Mapinduzi (CCM), iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii...

View Article

Kwa uhai wa Zanzibar, tushukeni vituoni

Masaa machache yaliyopita, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza tarehe ya marejeo ya uchaguzi wa Zanzibar kufanyika Machi 20, takriban miezi miwili kutokea leo. Hii imetokana na kufutwa kwa...

View Article


Jecha aipalilia makaa CCM

Tarehe 22 Januari 2016 ni siku nyengine kwenye historia ya Zanzibar baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC), Jecha Salum Jecha, kujitokeza katika televisheni ya serikali akisema uchaguzi wa...

View Article

Maalim Seif hajawahi kuwasaliti Wazanzibari

Yapo maoni ya baadhi ya watu kwamba kitendo cha Maalim Seif Sharif Hamad, mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) kushiriki katika mazungumzo na mgombea mwenzake wa Chama...

View Article

Zanzibar: Election re-run raises likelihood of confrontation

After a long period of negotiations, it was announced on Friday that Zanzibar will hold a re-run of elections on 20 March. The news was accompanied by a deployment of security forces in the...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live