Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Kwa la Zanzibar, Rais Magufuli hawezi kujifanya hahusiki

$
0
0
Makala ya Mheshimiwa Pius Msekwa, Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hapana shaka kada mkubwa wa Chama tawala cha Mapinduzi (CCM), iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii katika siku za hivi karibuni inatoa wito wa kuwepo mjadala wa wazi juu ya madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusiana na masuala ya Zanzibar. Kwenye makala hiyo, Msekwa ametoa …

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles