Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Wazanzibari kataeni kuabudu mizimu

$
0
0
OKTOBA, 1987, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alihutubia Baraza la Mapinduzi la Zanzibar juu ya kile kinachoweza kuelezewa kama “Mzimu wa Watu wa Kale” unaosumbua mustakabali wa siasa Visiwani Zanzibar kwa zaidi ya nusu karne sasa. Na kama ulivyokuwa msemo wa enzi za utawala wa Sultani karne ya 19, kwamba “Wapigapo chafya Visiwani Zanzibar, Bara huugua mafua”; ndivyo ilivyo hadi leo, kwamba, “Zanzibar …

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles