Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Muungano ulivyomtukuza Nyerere ukamdhalilisha Karume

Kabla ya kuja kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kulitanguliwa na nchi mbili zilizokuwa na uhuru na mamlaka kamili, Tanganyika na Zanzibar. Tanganyika ilipata uhuru wake tarehe 9 Disemba 1961...

View Article


Tanbihi ya mkutano wangu na Hanga

KUMBUKUMBU na usahaulifu. Kalima hizo mbili zina umuhimu mkubwa katika fani ya uandishi wa historia. Katika fani hiyo, “kumbukumbu” na “usahaulifu” huwa na siasa zake na nguvu za aina yake. […]

View Article


Tanbihi ya Tanbihi: Kumbukumbu, Kusahau, na Zanzibar Mpya

Madhumuni ya maandishi haya mafupi si kumjibu Mzanzibari mwenzangu na kaka yangu Ahmed Rajab, mwandishi maarufu na mwenye kusifika barani Afrika. Nia yangu ni kuweka sawa baadhi ya dhana zake […]

View Article

Maafa ya Januari 2001: Busara iienzi damu ile

Kwa hakika, kuondokewa ni kugumu mno. Ugumu huu wa kuondokewa huzidi kuumiza panapoangaliwa huo muondoko wenyewe ambao waondokaji wameondoka. Ugumu huzidi kuchochota kwa kuwaangalia hao waondokewa...

View Article

Dk. Salmin sasa pumzika

HADI sasa, hakuna aliyetangaza wazi kugombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ingawa miongoni mwa waliowahi kutajwa ni Shamsi Vuai Nahodha na Balozi Seif Ali Iddi. Kwa mwelekeo […]

View Article


CCM Z’bar haina uhalali kujinasibisha na Mapinduzi

Ukizingatia hotuba za Marehemu Mzee Abeid Karume na matendo yake wakati wa uhai wake, ukazingatia marudio ya kauli za Marehemu Karume kupitia kwa mjane wake, Mama Fatma Karume, ukasikiliza hotuba […]

View Article

CUF italinda haki yake – Maalim Seif

  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, anazungumzia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ambapo yeye anasimama tena […]

View Article

Kina Membe wajiandae kuangushwa Z’bar

NILITULIA kumsikiliza Bernard Kamilius Membe akitangaza nia ya kuusaka urais wa Tanzania. Ilikuwa na maana kubwa kwangu kwa sababu kada huyu mwenye nguvu na kachero aliyejijenga nyumbani na ughaibuni,...

View Article


TAABINI: Salim Mzee, “mzee wa Calypso” 1916-2015

WENGINE wakimwita “Maalim Salim”, wengi wakimwita “Sheikh Salim” na wakisikia anaitwa “Maalim” wakishangaa kwa sababu walikuwa hawajui kwamba Salim Mzee, aliyefariki dunia Ijumaa iliyopita akiwa na...

View Article


CCM wapenda namba lakini hawajui hesabu

Leo tuongee uchumi kidogo. Kuna watu wanapenda namba lakini hawajui hesabu. Kama na wewe ni mmoja wao, tafadhali usisome makala hii. Wabunge wengi na mawaziri wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ni wagonjwa...

View Article

Sitta ajiumbua mwenyewe

NILIPONUKUU maneno aliyoniambia Samwel John Sitta kupitia simu ya mkononi (rudia makala iliyopita), sikujua bwanamkubwa huyu ana kiburi cha kupindukia mpaka. Mshangao niliopata kuhusu hulka yake hiyo...

View Article

Hatushirikiani na Vikosi vya SMZ – ZEC

Tume  ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imepinga kutumika kwa Vikosi Maalum vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwenye shughuli zozote zinazohusiana na uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka...

View Article

Mambo yawa mambo Z’bar

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka Chama cha Wananchi (CUF) leo wametoka nje ya ukumbi wa baraza hilo kwa kile wanachodai kuwa ni ukiukwaji wa sheria, ikiwemo kujaza askari Polisi na wengine...

View Article


Zanzibar itavuna nini rais wa Muungano akiwa Jaji Ramadhani?

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) ni merikebu inayoelea shelabela katika bahari iliyochafuka. Imo safarini, ikipanda na kushuka juu ya mawimbi yenye hasira, ikiwa haijui tena iendako au hata ilikopanga kwenda....

View Article

CCM mpigo ni uleule, nje na ndani ya chama

KUNA moja tu litaloweza kukinusuru Chama cha Mapinduzi (CCM) kisiporomoke katika Uchaguzi Mkuu ujao: upinzani uliogawika na unaopigana wenyewe kwa wenyewe badala ya kujumlisha nguvu zao pamoja dhidi ya...

View Article


Lowassa, UKAWA na suala la maadili

Historia inaonesha kuwa vipindi fulani katika mustakabali wa nchi unalazimisha kupima nini ni janga zaidi ya jingine. Marehemu Samora Machel na Frelimo walikubali kutia saini Mkataba wa Nkomati wa...

View Article

Watilkal Ayyaam….

Kiu ya Wazanzibari kubadili mfumo wa Muungano ilikatishwa bila kusinzwa na wakalazimishwa kunywa mate yao na Bunge Maalum la Katiba mwishoni mwa mwaka jana. Ahadi ya Rais Jakaya Kikwete kuwa...

View Article


Wa 2015 sio tu uchaguzi mkuu, bali uchaguzi mkubwa kwa Z’bar

Kama halitotokea la kutokea, basi tarehe 25 Oktoba mwaka huu Wazanzibari wataelekea tena kwenye vituo vya kupigia kura kushiriki katika uchaguzi wa tano wa vyama vingi tangu mfumo huo uliporejeshwa...

View Article

CCM itakimbiwa na wengi

MAKALA yangu ya mwisho ilieleza kirefu kidogo kuhusu michakato ndani ya chama-tawala, jinsi ambavyo haijali sana kuwatendea haki wote wanaosaka nafasi katika chama hicho na ni kwa nini baadhi ya hao...

View Article

Kinana, kwa nini? Kwani kunani?

NIMEKUWA nikiyasoma, tena na tena, makala ya Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), yaliyochapishwa Septemba 10 kwenye blogi la gazeti la The Hill la huko Washington, Marekani....

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live