Leo tuongee uchumi kidogo. Kuna watu wanapenda namba lakini hawajui hesabu. Kama na wewe ni mmoja wao, tafadhali usisome makala hii. Wabunge wengi na mawaziri wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ni wagonjwa wa namba. Wanapenda namba lakini hawajui hesabu. Kwa kuwa viongozi wako hivyo, wamewaambukiza hata na wananchi wa kawaida, wakiwemo hata wale wanaoitwa kuwa ni wafanyakazi, ambao hutakiwa wawe tabaka la kati. Ukitaka wakushangilie, wewe ongeza tarakimu tu kwenye…
↧