Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imepinga kutumika kwa Vikosi Maalum vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwenye shughuli zozote zinazohusiana na uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Akizungumza na Zanzibar Daima kwenye ofisi za Tume hiyo zilizopo Maisara mjini Zanzibar, Mkurugezi wa ZEC Salum Kassim Ali alisisitiza kuwa taasisi yake pekee ndiyo inayohusika kwa asilimia zote na uchaguzi na wala si kwa msaada wala ushirikiano wa taasisi nyengine yoyote…
↧