Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Miguna Miguna azuia kupandishwa ndege kwa nguvu

Mwanasheria na mwanaharakati wa Kenya mwenye uraia pia wa Canada, Miguna Miguna, amezuia operesheni ya kumpandisha ndege kwa nguvu kumpeleka Dubai iliyochukuliwa na mamlaka za uhamiaji na vyombo vya...

View Article


Mbowe na wenzake wafutiwa dhamana, wasubiri kupandishwa kizimbani

Viongozi sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe wamefutiwa dhamana na kuwekwa mahabusu katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), jijini Dar...

View Article


Maalim Seif hajashindwa kuirejesha haki ya Oktoba 25 – Jussa

Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa CUF, Ismail Jussa, amesema kuwa katibu mkuu wa chama chake, Maalim Seif Sharif Hamad, bado hajashindwa hadi sasa kuirejesha haki yao iliyoporwa...

View Article

Mazombi warudi kivyengine, wawateka vijana na kuwapeleka Fumba

Lile kundi mashuhuri la kihalifu linalotajwa kuhusika na matukio kadhaa mabaya visiwani Zanzibar, ambalo wakaazi wa visiwa hivyo wamelipanga jina la ‘Mazombi’, linaripotiwa kurejea upya kwenye uharamia...

View Article

Kulala viongozi sita rumande haijapata kutokea-Zitto

Baada ya viongozi sita wa ngazi ya juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe kukosa dhamana jana na  kurudishwa rumande. Mbunge wa Kigoma mjini...

View Article


Zanzibar haishiriki wala haishirikishwi sera, sheria za Muungano

Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema kwamba muundo wa Muungano ulivyo na unavyotekelezwa unaitenga kando Zanzibar kwenye utungaji wa sera na sheria zinazousimamia...

View Article

SMZ inawabagua CUF, Wapemba – Maalim Seif

Akiorodhesha mifano kadhaa iliyotokea tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu uliopita, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, ameituhumu Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)...

View Article

Lema awashukia Nchemba, Kipilimba, Sirro

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), amewaonya vikali na waziwazi Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba; Mkuu wa Usalama wa Taifa, Modestus Kipilimba; na Mkuu wa Polisi Simon Sirro...

View Article


Hatuko huru kumkosoa Rais-Wananchi

Taasisi ya Twaweza imebaini asilimia 60 ya wananchi hawajisikii huru kukosoa Taasisi ya Rais huku asilimia 54 hawajisikii huru kumkosa Makamu wa raisi. Utafiti huo uliotumwa leo Machi 29 kwa vyombo vya...

View Article


Maalim Seif auanika usaliti wa Khalifa kwao

Katika kile kinachoibua hisia za Maalim Seif Sharif Hamad kwa kusalitiwa na baadhi ya jamaa zake wa Pemba kwenye mgogoro wa chama chake unaoendelea sasa, Katibu Mkuu huyo wa Chama cha Wananchi (CUF)...

View Article

Nape atema cheche juu ya demokrasia nchini

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema Tanzania inaweza kuwa Taifa la ovyo iwapo itashindwa kujifunza siasa za kuvumiliana hata kama yale yanayosemwa hayapendezi. Nape ambaye amekuwa akiibua...

View Article

Mambosasa asema aliyemuua Akwilina bado hajajuulikana

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ameviambia vyombo vya habari aliyemuua Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini bado hajajuulika na...

View Article

Zanzibar yampoteza mtangazaji bingwa wa burudani

Zanzibar leo imemzika mmoja wa watangazaji wake bingwa wa redio katika upande wa burudani na sanaa, Hassan Jureij Hassan (Hass J), ambaye hadi mauti yanamfika alikuwa akifanyia kazi kituo cha redio cha...

View Article


Lissu asema serekali iliiomba  SCEL kuficha Bombardier kukamatwa

Mwanasheria na Mbunge wa Singida Mashariki,  Tundu Lissu  amefichua kwamba serekali ya Tanzania ilitaka kufichwa juu ya kukamatwa kwa ndege ya Bombardier huko Canada. Leo kupitia ukurasa wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya:Safari ya Kumuua Rais-7

Ilipoishia wiki iliyopita tuliona Abdull akimuaga Fartuun anaondoka na hatorudi tena Somalia, halikuwa jambo rahisi  kwa Fartuun kukubali. Fartuun akamuomba Abdull wakutane kwa mara ya mwisho…Endelea…...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abdilatif Abdalla amuadhimisha Karimi Nduthu

  Ni fahari kubwa kwangu kushirikishwa katika  maadhimisho haya ya kumkumbuka Karimi Nduthu, mmojawapo miongoni mwa mashujaa wetu wa Kenya waliojitolea maisha yao ili kuendeleza harakati za mapambano...

View Article

Kamwe Wazanzibari hawatamsamehe Kikwete – Mazrui

Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Nassor Ahmed Mazrui, amesema kamwe Wazanzibari hawataweza kumsamehe rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, kwa ushiriki wake kwenye kuuharibu...

View Article


Sasa nchi ina udikteta kamili-Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Feeman Mbowe ametoa kauli  kwamba Tanzania sasa ina udikteta kamili. Kuali ya Mbowe imekuja masaa machache baada ya kutoka rumande kwa...

View Article

Maalim Seif asema Mama Samia alikuwa mwanachama wa CUF

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amefichua siri kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, aliwahi kuwa mwanachama wa CUF,...

View Article

Vijana 3 wa Pemba waliotekwa wasimulia mkasa mzima

Vijana watatu kati ya sita waliotekwa kutoka majumbani mwao huko Mtambwe kaskazini mwa kisiwa cha Pemba, wamesimulia mkasa mzima ulivyowatokea tangu walipovamiwa majumbani mwao usiku wa kuamkia Ijumaa...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live