Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

CHADEMA yataka kukutana na Magufuli

Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini Tanzania (CHADEMA) kinamtaka Rais John Magufuli aitishe haraka kikao na wazee wa taifa wakiwemo wa chama hicho ili kuzungumzia mustakabali wa nchi...

View Article


CUF yaitaka Mahakama Kuu kuwarejesha wabunge 8 bungeni

Chama cha Wananchi (CUF) kinaendelea kushuhudia kesi zake zilizo mahakamani zikisogezwa mbele kwa sababu moja ama nyengine, ambapo hivi leo wamepangiwa tarehe nyengine za mbele kusikilizwa madai yao....

View Article


Zanzibar yawania kujitangaza kimataifa

Maonesho ya kimataifa ya utalii ya Berlin yamemalizika nchini Ujerumani hivi karibuni, na kwa mara nyengine tena Zanzibar imehudhuria kama nchi ikisaka utambulisho wake yenyewe. Lakini bado changamoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya: Safari ya Kumuua Rais -5

Ilipoishia tuliona Abdull alivyoanza chuo na kukutana na marafiki wengi akiwemo Kassim, pia akakutana na Fartuun. Jioni moja wakati  wakitoka chuo waliamua kufuatana na story mbili tatu zikawa...

View Article

Huku mkwamo wa kisiasa ukiendelea Z’bar, CUF yageukia soka

Wakati bado Chama cha Wananchi (CUF) kikiendelea kuamini kuwa mgogoro wa kisiasa uliotokana na uchaguzi wa Oktoba 2015 haujesha, sasa chama hicho kikongwe visiwani Zanzibar kimegeukia kwenye mchezo wa...

View Article


Mahakama Kuu yawataka akina Sirro kujieleza kuhusu Nondo

Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imewataka Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai na Mkuu wa Jeshi la Polisi kufika mahakamani kesho Jumatano tarehe...

View Article

Mbunge Ally Saleh achapisha diwani nyengine ya ushairi

Mwandishi wa habari aliyesomea sheria na kugeuka kuwa mwanafasihi na kisha mwanasiasa, Ally Saleh (Alberto), amechapisha diwani yake nyengine ya ushairi, inayoitwa ‘TUPO: Diwani ya Tungo Twiti’, ambayo...

View Article

Hatimaye Nondo apandishwa kizimbani kiutata

Hatimaye jeshi la polisi nchini Tanzania limempandisha kizimbani kiongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Mahmoud Abdul Nondo, mkoani Iringa, baada ya takribani wiki mbili za kumshikilia....

View Article


Mbowe aitwa tena polisi, atowa waraka mzito kwa taifa

Leo tarehe 22 Machi 2018, mimi na viongozi wenzangu waandamizi wa Chadema tumetakiwa tena kuripoti Polisi. Tunaokabiliwa na usumbufu huu ni pamoja na Mhe Vincent Mashinji (Katibu Mkuu), Mhe. John John...

View Article


Lipumba amlaumu Maalim Seif kwa sheria mbaya ya uchaguzi Z’bar

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemlaumu Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, kwa kupitishwa sheria ‘mbaya’ za uchaguzi kwenye Baraza la...

View Article

Lipumba amkashifu vibaya Mtatiro

Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya chama hicho, Julius Mtatiro, hana heshima na hana adabu, akidai kuwa ni kijana...

View Article

Uchawi unatibika

Uchawi si jambo kubwa sana kama ambavyo wengine wanalichukulia. Pindi unapokusibu una tiba yake, na pia kama yalivyo maradhi mengine, pia una kinga yake. Msikilize Sheikh Sultan Al Mendhry kwenye...

View Article

Lipumba ni nuhusi kwa CUF – Maalim Seif

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Prof. Ibrahim Lipumba, hana hadhi ya kujiita mpinzani wa kweli dhidi ya Chama cha...

View Article


Kutana na Masoud ‘Tongenyama’, mpishi mashuhuri wa karamu

Masoud Juma Masoud, maarufu kama Mssoud Tongenyama, ni kijana wa Kizanzibari anayejishughulisha na kazi ya upishi wa karamu mwenye umaarufu mkubwa kwenye mikoa ya Pwani na jijini Dar es Salaam, ambako...

View Article

Zaima TV yazindua kipindi maalum cha ‘Ajenda ya Zanzibar’

Kuelekea maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hapo Aprili 26, Zaima TV inaanza kurusha kipindi maalum kiitwacho Ajenda ya Zanzibar, ambacho kinaangazia hoja ya Wazanzibari...

View Article


Kamanda awaahidi ulemavu watakaoandamana

Katika kile kinachoonekana ni muamko wa uhamasishaji wa maandamano kupitia mitandao ya kijamii ukiendelea, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amewaonya watu wanaopanga kushiriki maandamano...

View Article

Hiki ndicho unachotakiwa kufanya ukiota ndoto za majini ya kichawi

Je, ndoto za vitisho au vitimbi unazoota usingizini zinaweza kuwa na athari kwenye maisha yako? Kwenye sehemu hii ya mfululizo wa makala za Nuru ya Tiba, Sheikh Sultan Al Mendhry anasema jawabu ni...

View Article


Mahakama yampa dhamana Nondo, lakini askari magereza wakimbia naye

Habari za hivi punde kutoka Mjini Iringa zinasema kuwa Mahakama mkoani humo imekubali kutoa dhamana kwa kiongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Mahmoud Nondo, ikiagiza masharti ya...

View Article

Maalim Seif aunga mkono waraka wa KKKT

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema amefarijika sana kuona Kanisa la Kilutheri la Tanzania (KKKT) limetoa waraka wa kuzungumzia hali halisi ya nchi katika wakati...

View Article

Maalim Seif awashukia Lipumba,Jaji Mutungi

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesikitishwa na Mwenyekiti wa zamani wa chama hicho  Profesa Ibrahim Lipumba kwa kuendeshwa kama kishada na kufanya kazi na Chama Cha...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live