Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Nassor Ahmed Mazrui, amesema kamwe Wazanzibari hawataweza kumsamehe rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, kwa ushiriki wake kwenye kuuharibu uchaguzi wa Oktoba 2015.
↧
Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Nassor Ahmed Mazrui, amesema kamwe Wazanzibari hawataweza kumsamehe rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, kwa ushiriki wake kwenye kuuharibu uchaguzi wa Oktoba 2015.