Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Miguna Miguna azuia kupandishwa ndege kwa nguvu

$
0
0

Mwanasheria na mwanaharakati wa Kenya mwenye uraia pia wa Canada, Miguna Miguna, amezuia operesheni ya kumpandisha ndege kwa nguvu kumpeleka Dubai iliyochukuliwa na mamlaka za uhamiaji na vyombo vya usalama vya Kenya usiku wa jana (26 Machi 2018), katika mkasa wa aina yake uliosambazwa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo kadhaa vya habari. Awali Miguna alikataliwa kuingia nchini Kenya, huku idara ya Uhamiaji ikimkata kwanza aombe kibali cha kuingia nchini humo, taifa ambalo alizaliwa, kukulia na ambalo mwenyewe anasema hajakana uraia wake.

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles