Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Lipumba amlaumu Maalim Seif kwa sheria mbaya ya uchaguzi Z’bar

$
0
0

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemlaumu Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, kwa kupitishwa sheria ‘mbaya’ za uchaguzi kwenye Baraza la Wawakilishi la Zanzibar lenye wana-CCM watupu kwa madai kuwa kunatokana na katibu mkuu huyo kuzuwia kesi za wawakilishi wa CUF baada ya uchaguzi wa Oktoba 2015.

 

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles