Quantcast
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyundo za Sugu zilivyosugua bungeni

Hii ndiyo hotuba kamili ya Mbunge Joseph Mbilinyi ambayo ilizua tafrani kwenye Bunge hapo jana kiasi cha Mwenyekiti wa Bunge hilo, Mbunge Mussa Zungu, kulazimisha kuwa kurasa 17 za hotuba hiyo zifutwe,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vidio: Kutana na mtoto apendanaye na joka

Mvulana wa Cambodia, Ouen Sambat, analichukulia joka hili linaloishi nyumbani mwao sio kama tu mnyama wa kufugwa, bali kama rafiki yake mpenzi mwenye jina la Chamerun, yaani bahati. Angalia vidio hii....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya kushinda kesi ya uchochezi dhidi yake, sasa kijana wa Kitanzania...

Kijana wa Kitanzania, Mpaluka Said Nyagali maarufu kwenye mitandao ya kijamii kama Mdude Nyagali, ameshinda kesi ya uchochezi dhidi yake na sasa anaitaka serikali kupitia vyombo vyake vilivyoshiriki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kisiwa cha Pemba chakumbwa na mvua ya gharika

Si kawaida mafuriko kukiathiri kisiwa cha Pemba, hata panapokuwa na mvua kubwa kiasi gani, kutokana na maumbile yake ya milima na mabonde, lakini mvua kubwa ya masika inayoendelea sasa imezamisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania 7 Mei 2017

Ajali ya jana ya basi lililokuwa limewachukuwa wanafunzi wa Mt. Lucky kaskazini mwa Tanzania ndiyo imepewa nafasi ya juu. Inatajwa kuwa zaidi ya watu 30, wengi wao wakiwa wanafunzi, walipoteza maisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa awalilia watoto wa Mt. Lucky

Waziri mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Baraza Kuu la CHADEMA, Edward Lowassa, ameelezea masikitiko yake kwa vifo vya zaidi ya watu 30, wengi wao watoto wadogo wanafunzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuru Kenyatta afadhaishwa na vifo vya watoto wa Kitanzania

Akipokea uteuzi wa chama chake cha Jubilee kuwania tena urais wa Kenya hivi leo, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amewaomba raia wa nchi yake kusimama angalau kwa dakika moja kama ishara ya kuwaombea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii wa Bongo walizwa na ‘mashujaa wa elimu’

Vifo vya watoto zaidi ya 30 vilivyotokea jana Karatu, kaskazini mwa Tanzania, hapana shaka vimelitikisa taifa hilo kubwa kabisa kieneo kwenye ukanda wa Afrika Mashariki. Watoto hao walipatwa na ajali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuvuta sigara kunapokuwa kipaji

Wengi tunakubaliana kuwa uvutaji sigara ni hatari kwa afya ya mvutaji na hata waliomzunguka, kwani moshi wa tumbaku una madhara ya moja kwa moja kwa afya na hata kwa mazingira. Lakini hivi unajuwa kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Macron aongoza Ufaransa

Huku takribani nusu ya kura zikiwa zimeshahesabiwa kwenye uchaguzi wa duru ya pili nchini Ufaransa, mgombea urais mwenye siasa za wastani anayeunga mkono Muungano wa Ulaya, Emmanuel Macron, anaongoza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama hujaisikia hii, bado hujaijuwa maana hasa ya dhihaka kwenye sanaa

Vidio ya wimbo wa Bongofleva wa msanii Ney wa Mitego uitwao Wapo iliyoigizwa upya (remix) kwa njia ya dhihaka na msanii wa vichekesho nchini Tanzania, Mkali Wao, inaakisi maana halisi ya dhihaka kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania 8 Mei 2017

Taarifa kubwa inaendelea kuwa ajali ya basi Iliyoangamiza maisha ya watu 35 juzi, wengi wao wakiwa wanafunzi wa skuli ya Mtakatifu Lucky Vicent, ambapo leo Makamu wa Rais Samia Suluhu anatazamiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, wajuwa kuwa Wafaransa milioni 4 walipiga kura za maruhani?

Licha ya mgombea urais wa mrengo wa kati nchini Ufaransa, Emmanuel Macron, kujishindia asilimia 66.1 ya kura kwenye uchaguzi wa duru ya pili hapo jana, dhidi ya hasimu wake wa mrengo mkali wa kulia,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwaherini ‘mashujaa’ wetu wa elimu

Leo ni siku ambayo miili 35 ya mashujaa wa elimu nchini Tanzania inaagwa mjini Arusha. Zanzibar Daima inaunganika na familia za watoto wetu, walimu na dereva waliopoteza maisha kwenye ajali ya juzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Buhari akutanana na wasichana ‘wa Boko Haram’

Mchana wa leo, Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amewakaribisha wasichana 82 walioachiliwa huru na kundi la wanamgambo wa Boko Haram, miaka mitatu baada ya kuwachukuwa mateka wakiwa kwenye skuli yao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

“Mkitushambulia, tutaingamiza Saudia nzima kasoro Makka na Madina tu”, Iran...

Ikijibu kitisho cha karibuni kabisa kwamba Saudi Arabia itauhamishia mgogoro wake ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, serikali mjini Tehran imeapa kwamba haitakibakisha chochote kimesimama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“Bila ya Brigitte, nisingekuwa mimi”– Macron amsifia mkewe mzee

Huenda Emmanuel Macron ndiye rais kijana zaidi kuliko wote waliowahi kuitawala Ufaransa, lakini pia huenda mkewe akawa mkongwe zaidi kwa mwanamme huyo mwenye umri wa miaka 39 kuliko wake wengi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huenda hii ikawa zawadi bora kabisa ya ‘birthday’ kwa Mzee Ruksa kuwahi kupewa

Wakati Rais wa Tatu wa Zanzibar na wa Pili wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi, maarufu kama Mzee Ruksa, akiadhimisha umri wa miaka 92 tangu azaliwe, huenda moja ya zawadi alizopatiwa na Mzanzibari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania 9 Mei 2017

Jumanne ya leo bado imeendelea kuwa siku ya msiba kwenye kurasa nyingi za mbele za magazeti ya Tanzania, yakiripoti tukio la kuagwa kwa miili ya wanafunzi, walimu na dereva waliopoteza maisha kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lema ‘amuibua’ Ben Saanane bungeni

Mbunge Godbless Lema wa Arusha Mjini, ambaye jana hakupewa nafasi ya kutoa mkono wa pole kwa wafiwa wa ajali iliyoangamiza watu 35, wengi wao wakiwa wanafunzi, kutokana na kile kinachotajwa kuwa “chuki...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live