Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Macron aongoza Ufaransa

$
0
0

Huku takribani nusu ya kura zikiwa zimeshahesabiwa kwenye uchaguzi wa duru ya pili nchini Ufaransa, mgombea urais mwenye siasa za wastani anayeunga mkono Muungano wa Ulaya, Emmanuel Macron, anaongoza kwa asilimia 65 dhidi ya asilimia 34 za Marine Le Pen wa chama cha siasa kali za mrengo wa kulia.


Filed under: HABARI

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles