Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Labda shetani ndio awape tunzo viongozi wa Afrika

Ni mwaka wa pili sasa kwa Wakfu wa Mo Ibrahim kushindwa kupata mtu wa kumtunuku Tunzo ya Uongozi Bora Afrika. Katika hali ya kushangaza, kamati maalum kwa ajili ya kuteuwa kiongozi wa kumpa tunzo hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

La Lema tayari, sasa la Uamsho

Wanasharia na watetezi wa haki za binaadamu wanatuambia kuwa haki ina misingi yake mikuu, ambayo inapaswa kuhishimiwa ili haki hiyo iitwe kweli ni haki. Mmojawapo ni ukweli kuwa haki na ubinaadamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Dystopia’ na machungu ya viongozi wakali

NIMEKUWA nikilitafuta neno moja la Kiswahili kuielezea hali ya Zanzibar ilivyo na inavyoelekea kuwa endapo mambo yake yataendelea kuwa yayo kwa yayo, tuseme katika kipindi cha miaka kumi au ishirini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya Dk. Shein haiondoi khofu ya raia kukosa umeme

Visiwa vya Zanzibar vimegubikwa na minong’ono na khofu kubwa baada ya Rais John Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuiagiza Shirika la Ugavi wa Umeme ya Tanzania Bara (TANESCO) kuwakatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Niijuwavyo Zanzibar

Wazazi wangu, Mervyn na Auderey Smithman, walikwenda Tanganyika mwaka 1946 baada ya vita kutokea katika Serikali ya Kikoloni ya Muingereza. Baba yangu alikuwa na cheo cha luteni kanali katika jeshi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzimwe usizimwe, Zanzibar i gizani

Tangu Rais John Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) atowe kauli yake ya kulitaka Shirika la Ugavi wa Umeme la Tanzania Bara (TANESCO) kuwakatia wadaiwa wake sugu, ikiwemo Serikali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nje ya umoja wa kitaifa na maridhiano, Zanzibar itaendelea kudhalilika

  Kwa kutumia ghiliba ya mtazamo hasi wa kihistoria, kundi la wanasiasa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) waliikaba pumzi dhana nzima ya umoja wa kitaifa na maridhiano ya Wazanzibari. Hawa walikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bado kioo kinamkana Dk. Shein

Jumatatu ya tarehe 21 Machi 2016, Dk. Ali Mohamed Shein aliamka mapema kisha akasimama mbele ya kioo chake kujiangalia. Ile taswira kwenye kioo ikamuambia: “Wewe ni Ali tu!” Mwangwi wa sauti hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zanzibar ijifunze maana ya mapinduzi kutoka Oman

Kwa makusudi kabisa, wenye satwa ya kutunga sera na mwelekeo wa taifa letu wanataka ionekane kama kwamba uhusiano kati ya Zanzibar na Oman ulianza mwaka 1832 pale Sayyid Said bin Sultan Al-Busaid...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sahara Magharibi kama Zanzibar

Naandika makala hii nikiwa kwenye ziara ya kikazi nchini Morocco katika mji wa Marrakesh, ambao sehemu yake ya kale ina mengi yanayofanana na ya Mji Mkongwe wa Zanzibar, husemi ila wachoraji wa ramani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC na kesho ya Afrika Mashariki

Chaguzi za wabunge wanaotakiwa kuingia kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) zimefanyika, ingawa hatuwezi kuhoji kuwa zimemalizika, angalau kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muungano, Zanzibar na miaka 53 ya ukaliwaji wa kimyakimya

Zanzibar ina bahati mbaya ya kukaliwa na tawala za kigeni kwenye historia yake, zikibadilishana moja baada ya nyengine, lakini haijawahi kuacha kuzipinga tawala hizo kwenye historia yake yote. Huu ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Labda shetani ndio awape tunzo viongozi wa Afrika

Ni mwaka wa pili sasa kwa Wakfu wa Mo Ibrahim kushindwa kupata mtu wa kumtunuku Tunzo ya Uongozi Bora Afrika. Katika hali ya kushangaza, kamati maalum kwa ajili ya kuteuwa kiongozi wa kumpa tunzo hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

La Lema tayari, sasa la Uamsho

Wanasharia na watetezi wa haki za binaadamu wanatuambia kuwa haki ina misingi yake mikuu, ambayo inapaswa kuhishimiwa ili haki hiyo iitwe kweli ni haki. Mmojawapo ni ukweli kuwa haki na ubinaadamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Dystopia’ na machungu ya viongozi wakali

NIMEKUWA nikilitafuta neno moja la Kiswahili kuielezea hali ya Zanzibar ilivyo na inavyoelekea kuwa endapo mambo yake yataendelea kuwa yayo kwa yayo, tuseme katika kipindi cha miaka kumi au ishirini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya Dk. Shein haiondoi khofu ya raia kukosa umeme

Visiwa vya Zanzibar vimegubikwa na minong’ono na khofu kubwa baada ya Rais John Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuiagiza Shirika la Ugavi wa Umeme ya Tanzania Bara (TANESCO) kuwakatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu ya Zanzibar: Bi Suad Al Lamki, mwanasheria mstaafu

Katika ziara yangu nchini Oman mnamo mwezi Machi, nilikutana na mashujaa wengi wa Zanzibar, ambao Zanzibar ya leo na Oman yenyewe pia haziwezi kusimama kujisemea zisiwasemee kama kweli zinataka kuweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vidio: Othman Masoud auanika Muungano

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema mahusiano ya kiutawala yaliyopo kati ya Tanganyika na Zanzibar yamekosa uwazi juu ya ni kipi hasa kilichopo – ama kama ni muungano,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Audio: Tundu Lissu ‘aitoa povu’ serikali bungeni

Msemaji wa Kambi ya Upinzani Bungeni (Sheria na Katiba), Mbunge Tundu Lissu, amewasababisha wajumbe wa baraza la mawaziri wa serikali ya Rais John Magufuli kuchangiana kwenye kupambana naye bungeni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania 6 Mei 2017

Mada kuu kwenye magazeti ya Tanzania hivi leo hotuba ya jana ya Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni (Habari, Utamaduni na Michezo) Mbunge Joseph Mbilinyi ambayo ililazimishwa na Mwenyekiti Mussa...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live