Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 16

Kashfa ya mikataba ovyo ya madini yaendelea kutawala vichwa vya habari katika kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania, huku kurasa za nyuma kwenye michezo, mada zikijikita kwenye mzozo kati Baraza la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuhuma za dhuluma dhidi ya Mzee Gora: Jibu la Ally Saleh kwa Waziri Rashid 

Salam. Mimi naitwa Ally Saleh. Natumai utakuwa na muda wa kuyasoma maelezo haya ili, kwanza, ujielimishe juu ya suala la Mzee Haji Gora na, pili, upate usikie upande wa pili wa shillingi Bahati mbaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF yaja juu kufungiwa Mawiyo

Chama cha Wananchi (CUF) kimelaani vikali hatua ya serikali ya Rais John Magufuli kulifungia gazeti huru la Mawiyo kwa kisingizio cha kuwahusisha marais wastaafu na kashfa ya mikataba ya ovyo kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kubenea na Mwakyembe vidole machoni

Waziri mwenye dhamana ya habari kwenye serikali ya Rais John Magufuli, Harrison Mwakyembe, ametetea hatua yake ya kulifungia gazeti la Mawiyo, huku mmoja wa wamiliki wa gazeti hilo, Said Kubenea,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 17

Bado mjadala wa mchanga wa madini unaosafirishwa nje ya nchi na mikataba ya ovyo iliyoingiwa na serikali za awamu zilizopita unaendelea, na kwenye michezo ni pirika pirika za uchaguzi wa Shirikisho la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na Ninja wa mwisho aliyebakia

Jinichi Kawakami anaelezwa kuwa ndiye ninja wa mwisho kabisa duniani, akiwa mrithi wa moja kwa moja wa sanaa hiyo ya mapigano, ujasusi na mauaji iliyodumu kwa miaka 500. Maninja wamefunzwa kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 18 Juni 

Mada ni mchanganyiko. Kuanzia za mazungumzo yanayotarajiwa kuwepo kati ya serikali ya Rais John Magufuli na kampuni ya Barrick Gold hadi taarifa za kiuchunguzi kuhusu kushamiri kwa biashara ya viungo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu kiongozi vipi kumtishia mfichua ufisadi? 

NI nani anayestahili kuitwa mkorofi kati ya mwakilishi anayeiambia ukweli serikali ili ijirekebishe au kujisafisha penye madoa, na yule anayetishia hatima ya kisiasa huyo anayeamini anachokisema ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Subiria ‘moja ya mawili’ kwa siasa za Zanzibar 

TANGU kutokea kwa songombingo katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, kutokana na utendaji wa shaka wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, bado hali ya siasa Zanzibar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashirika ya haki za binaadamu yalaani kufungiwa Mawio 

Mashirika ya haki za binaadamu na watetezi wa uhuru wa habari nchini Tanzania yamelaani vikali na kwa kauli moja hatua ya serikali ya Rais John Magufuli kulifungia gazeti la Mawio kwa madai ya kukiuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 19 Juni 

Makinikia na makandokando yake yaendelea kuwa mada kuu kwenye kurasa za mbele za magazeti kama ulivyo uchaguzi wa Shirikisho la Soka la Tanzania Bara (TFF) kwenye kurasa za nyuma.  Filed under:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 20

Takribani magazeti yote yametanda habari za kupandishwa kizimbani kwa washukiwa wa kuhujumu uchumi na wamiliki wa kampuni ya kuzalisha umeme ya IPTL, Habinder Singh na bilionea Rugemarila. Kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 21

Ziara ya Rais John Magufuli mkoani Pwani na yaliyojiri huko ni miongoni mwa mada kuu za leo, kikubwa kikiwa kiapo chake cha kupambana na ufisadi na wizi serikalini pamoja na ujenzi wa viwanda, na huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif afanya ziara ya kushtukiza usiku huu madukani 

Habari zilizotufikia kutoka Mjini Unguja muda mfupi uliopita ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, ametembelea maduka ya nguo katika mitaa ya Mchangani na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 22

Habari ya kuuawa kwa polisi wawili huko Kibiti mkoani Pwani, siku moja baada ya Rais John Magufuli kufanya ziara eneo hilo na pia hotuba zake za jana akiwa huko ni mada kubwa leo magazetini....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanuni ya mikataba ya kudumu izuiwe

Mnamo tarehe 15 Mei 2013 aliyekuwa Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika, Haroun Ali Suleiman, aliweka saini kanuni inayosimamia mikataba ya kazi Zanzibar, si kwa nguvu za kiuwaziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 23 Juni

Kauli ya Rais John Magufuli juu ya marufuku kwa wanafunzi wanaopata ujauzito shuleni ndiyo iliyopewa nafasi kubwa kwenye kurasa za mbele, ambapo kurasa za nyuma zinajikita zaidi na namna Simba Sports...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zawadi ya Eid inapokuwa rushwa 

Kamisheni ya Kuondosha Ufisadi nchini Indonesia (KPK) imetangaza kwamba ripoti zinazohusiana na zawadi za Eid zilizokubaliwa na maafisa wa serikali na vyombo vya dola zimeongezeka.  Mkurugenzi wa KPK,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzalendo wa kufungiana? Suluhisho la Kunduchi

WIKI iliyopita, Serikali ilitangaza kulifungia gazeti la MAWIO kwa muda wa miaka miwili kwa maelezo ya kukiuka agizo la kutowahusisha marais wastaafu wa Tanzania na sakata la usafirishaji wa makinikia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu yasiyopendeza ya suala la Kibiti 

Kuna utaratibu wa kutoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana kwa mujibu wa sheria na kwa wanaojitolea kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).  Mafunzo hayo yanawafaa sana vijana kwa kuwajengea ukakamavu na...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live