Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimo asilia kinavyoweza kulinda mazingira, afya na uchumi

“Ya kale ni dhahabu” ni msemo maarufu unaonesha ni kiasi gani vitu vya asili vilivyo na umuhimu katika kajamii. Kwa muda mrefu wakulima wa Zanzibar walikuwa wanatumia mbolea ambayo  inatoka viwanda vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jinsi Zanzibar inavyopoteza mapishi ya asili 

Urithi wa kitamaduni (cultural heritage) ni eneo ambalo linapotea kwa kasi katika visiwa vya Zanzibar. Kumekuwa na ushajiishaji mdogo mno kwa Wazanzibari kuendeleza mapishi ya asili hasa yatokanayo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 11 Juni 

Leo ni siku ambayo ripoti ya Kamati ya Pili ya Rais juu ya usafirishaji mchanga wa madini nje ya nchi itakapowasilishwa, huku mauaji ya Kibiti yakiendelea na kauli kali zikitoka. Kwenye safu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Saif al-Islam aachiwa huru

Kundi moja lenye silaha nchini Libya linasema limemuachia huru Saif al-Islam, mtoto wa kiume wa Marehemu Muammar Gaddafi, ambaye alikuwa kizuizini tangu Novemba 2011, kwa mujibu wa gazeti la The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 12 Juni 

Magazeti mengi yanazungumzia hatua ya kufutwa kazi kwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Nishati na Maji ya Tanzania Bara (EWURA) usiku wa manane na kwenye michezo ni ushindi wa Gor Mahia ya Kenya kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni kuona ama kuonya, kuonesha au kuonyesha? 

Nawaomba radhi wanaukumbi kwa kuwarudisha nyuma kwenye mazungumzo ya juzi, kuhusu haya maneno yaliyoko hapa juu.  Nianze kwa kuungama. Katika baadhi ya nyakati hutolewa maoni hapa, ambayo nami hutamani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Acheni propaganda, ujinga na ushenzi hauna dini

Vidio inasambaa mitandaoni. Vijana wanaonekana kumzonga kwa maneno na kumchapa bakora mtu anayetajwa kuwa mlevi katika mchana wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Hakika, ni kitendo kisicho cha Kiislamu hata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama ulidhani Z’bar haiwezi kujitosheleza kwa chakula, ulikosea

Rehema Leonard Yohana alihama kwao Dodoma, uliko mji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tangu mwaka 1997 na kupageuza Zanzibar kuwa nyumbani pake na watoto wake, na sasa sio tu kwamba anatumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 13 Juni

Takribani magazeti yote yanazungumzia Ripoti ya Kamati ya Pili ya Rais juu ya usafirishaji mchanga wa madini nje ya nchi na makandokando yake, huku michezoni wakijikita na usajili kwenye timu za soka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Magufuli kumwaga ugali, Lissu amwaga mboga

Baada ya Rais John Magufuli kutishia ‘kuwashughulikia’ wabunge wanaosemasema ovyo dhidi ya anachokiita mwenyewe vita vyake vya kiuchumi na kumtaka Spika Job Ndugai naye afanye hivyo hivyo bungeni, sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe aendelea ‘kushughulikiwa’ 

Kwa mara nyengine, mbunge wa Hai na mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameandamwa na mikasa kutoka serikalini. Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Hai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mazombi wahasiri tena Zanzibar 

Taarifa kutoka kisiwani Unguja zinasema kuwa kwa mara nyengine tena kundi la kiharamia, linalofahamika na wakaazi wa kisiwa hicho kama Mazombi, limemvamia, kumpiga na kumuibia kijana mmoja na kumuwacha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 14

Stori kubwa ni wito wa kutaka viongozi wawili wakuu waliopita, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, washitakiwe kwa dhima yao katika kashfa ya mikataba ya madini, huku kwenye safu za michezo Baraza la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barrick wamwangukia Magufuli?

Taarifa iliyosambazwa na Ikulu ya Tanzania muda mfupi uliopita inasema kuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ambayo ndiyo wamiliki wakubwa wa kampuni ya Accacia, Prof. John L....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Musiloweza kulisema Tanganyika, mwalisema Zanzibar

Mimi sifichi msimamo wangu dhidi ya ‘siasa’ za huu tunaoaminishwa kuwa ni Muungano wa Tanzania kuelekea Zanzibar, ingawa naweka mpaka baina ya kusimama dhidi ya Muungano wenyewe na kusimama dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchanga wa madini waligawa taifa, sasa wananchi ndio waamuwe

KILIO  cha wapinzani cha miaka yote kwamba raslimali za nchi zinaibiwa ama kutokana na uzembe wa wale wanaopaswa kuzilinda au kwa wao kuamua kushirikiana na waporaji hao, huku wakiwa wameiangamiza nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Magufuli yaifungia Mawiyo 

Siku moja tu baada ya Rais John Magufuli kuonya vyombo vya habari dhidi ya kuwahusisha marais wastaafu na kashfa ya mikataba ya madini, waziri wake wa habari, Harrison Mwakyembe, amelifungia gazeti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto aitetea Mawio

Muda mchache baada ya serikali ya Rais John Magufuli kulifungia gazeti huru la Mawio kwa tuhuma za kuandika habari ha kuwahusisha marais wastaafu na kashfa ya mikataba ovyo ya madini, mbunge wa Kigoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa mtaji huu, tutaendelea kuibiwa tu

Nimesikia mmoja wa wenyeviti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Andrew Chenge, anajitapa kwa kusema hawezi kufungwa kwa sababu alichokifunga (kusaini mikataba ya ovyo) kilikuwa na baraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania si taifa la watu kukosa maji

Tanzania ni mojawapo ya nchi chache sana duniani zenye neema tele ya maji. Hatujawahi kukosa maji hata siku moja! Ila tunashindwa tu kuyasambaza ili yaje kwenye makazi, mashamba na viwanda kwa ajili ya...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live