Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Zitto naye mikononi mwa polisi

Kiongozi wa chama cha upinzani cha ACT Wazalendo na mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Zuber Kabwe, amekuwa kiongozi wa karibuni kabisa wa upinzani nchini Tanzania kutiwa nguvuni na jeshi la polisi, kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

La Prof. Kabudi, Zanzibar na Mtego wa Komba – II

Katika sehemu ya kwanza ya mfululizo wa uchambuzi huu, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Othman Masoud, alizungumzia nadharia ya mtego wa komba akiufananisha na namna viongozi wa Zanzibar...

View Article


Lima na Zaima: Kitalu chako kitayarishe hivi

Kwenye mfululizo huu wa vipindi vya Lima na Zaima, tunakuletea maarifa juu ya namna bora zaidi ya kutayarisha kitalu chako cha miti kwa ajili ya kupata miche bora ya shambani kwako, maana bila ya kuwa...

View Article

Baada ya mauaji mengine ya kikatili, sasa CHADEMA yataka wanachama wajilinde

Kufuatia mauaji mengine ya kikatili dhidi ya diwani wake, Godfrey Luena, sasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wanachama wake popote walipo kujilinda wenyewe dhidi ya mashambulizi...

View Article

EU yalaani ukatili, vitisho Tanzania

Jumuiya ya Umoja wa Ulaya hivi leo wametoa tamko lifuatalo kwa ushirikiano na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya wenye uwakilishi Tanzania na kuungwa mkono na Mwakilishi na Mabalozi wa...

View Article


CUF Pemba wamuonya Lipumba, polisi

Chama cha Wananchi (CUF) kisiwani Pemba kimetoa onyo kali dhidi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya taifa, Prof. Ibrahim Lipumba, kwamba asijaribu kukanyaga kisiwani huko kuendesha kile...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lissu amjibu Msajili Mutungi

Nimesoma barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, yenye tuhuma na vitisho vingi dhidi ya CHADEMA. Bila kutoa ushahidi wowote na kwa kutegemea taarifa za upande mmoja tu, Msajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF yatoa kauli rasmi ziara ya Lipumba kisiwani Pemba

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Nassor Ahmed Mazrui, kimeikanusha vikali barua iliyotolewa na jeshi la polisi mkoa wa kusini Pemba, likidai kupokea barua ya CUF kuridhia kufanyika kwa...

View Article


La Prof. Kabudi, Zanzibar na Mtego wa Komba – III

Katika sehemu ya pili ya uchambuzi huu, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Othman Masoud, alianza kuvichambua vifungu vya Katiba Inayopendekezwa iliyopitishwa kwa shangwe na kutetewa na wana-CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riwaya: Safari ya Kumuua Rais – 2

Ilipoishia shemu ya kwanza! Tuliona jinsi Abdull na Talib ambao ni ndugu walivyotoka Dodoma na kufika Dar es Salaam, baada ya mapumziko ya siku chache wakaelekea Zanzibar katika kisiwa cha Unguja. Huko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

La Prof. Kabudi, Zanzibar na Mtego wa Komba – IV

Kwenye sehemu ya tatu ya uchambuzi huu wa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud, mwandishi alimalizia kuchambua baadhi ya ibara za Katiba Inayopendekezwa vinavyoiangamiza kabisa...

View Article

Kutana na mwanamke aliyekataa kuvuliwa nguo jela

Licha ya kwamba maafa ya Januari 2001 visiwani Zanzibar yamepita, lakini ukweli ni kuwa yamebakia hadi leo ndani ya nafsi na miili ya watu. Mmojawapo ni Bi Fathiya Zahran Salum ambaye siku ya tarehe 26...

View Article

CUF yazitangaza NEC, ZEC maadui wa taifa

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro, amesema kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na ile ya Zanzibar (ZEC) ndio maadui wakubwa kwa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article


Mbowe asema wananchi wanataka kulipiza kisasi, lakini anawazuwia

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa wananchi wanaushinikiza uongozi wa chama hicho kuwaruhusu kutumia njia zao wenyewe kujilinda na kulipiza kisasi...

View Article

Dhamana ni haki yako

Kama ambavyo polisi wana haki ya kukukamata kwa kufuata masharti ya kisheria, basi pia nawe una haki ya kupatiwa dhamana haraka iwezekanavyo kwa masharti hayo hayo ya kisheria. Msikilize Rais wa Chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazanzibari ‘wanaoushitaki’ Muungano wahofia maisha yao

Kiongozi wa kundi la Wazanzibari 40,000 waliofunguwa kesi kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki kuhoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rashid Salum Adi, anasema anakhofia usalama wa maisha...

View Article

Maalim Seif afichua siri za kuvamiwa Mtendeni

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amefichua njama zilizopangwa kwenye tukio la uvamizi wa vyombo vya dola katika makao makuu ya chama chake yaliyopo Mtendeni, Mjini...

View Article


LHRC yawatupia lawama NEC, Msajili

Shirika la kutetea haki za binaadamu la LHRC nchini Tanzania linasema kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini humo ni miongoni mwa taasisi zilizoshindwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hoteli ya nyota tano na ukumbi wa kimataifa kujengwa Micheweni

Kampuni ya Kimataifa ya VAULT yenye Makao Makuu yake mjini Washington Marekani imeonesha nia ya kutaka kuweka Miradi ya Kiuchumi katika Ukanda wa maeneo huru ya Kiuchumi uliopo Micheweni Mkoa wa...

View Article

Tiba: Neema zilizo rahisi kwa mtu kuhusudika

Kwenye mfululizo huu wa makala za Nuru ya Tiba, leo Sheikh Sultan Al Mendhry anafafanua neema nne ambazo mwanaadamu anapokuwa nazo, huwa rahisi kwake kufanyiwa hasadi na akadhurika kwazo.

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live