Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

LHRC yawatupia lawama NEC, Msajili

$
0
0

Shirika la kutetea haki za binaadamu la LHRC nchini Tanzania linasema kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini humo ni miongoni mwa taasisi zilizoshindwa kutimiza majukumu yake kisheria kwenye chaguzi ndogo za hivi karibuni, na hivyo kuwa moja ya vyanzo vya machafuko yaliyopelekea vifo na uvunjwaji mkubwa wa haki za binaadamu.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Latest Images

Trending Articles