Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Kutana na mwanamke aliyekataa kuvuliwa nguo jela

Licha ya kwamba maafa ya Januari 2001 visiwani Zanzibar yamepita, lakini ukweli ni kuwa yamebakia hadi leo ndani ya nafsi na miili ya watu. Mmojawapo ni Bi Fathiya Zahran Salum ambaye siku ya tarehe 26 Januari 2001 imebakia kuwa na alama kubwa kwake na kwa mustakbali wake. Lakini alisimama na anaendelea kusimama hadi leo. Sikiliza simulizi yake hapa.

 

 

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles