Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Dhamana ni haki yako

$
0
0

Kama ambavyo polisi wana haki ya kukukamata kwa kufuata masharti ya kisheria, basi pia nawe una haki ya kupatiwa dhamana haraka iwezekanavyo kwa masharti hayo hayo ya kisheria. Msikilize Rais wa Chama cha Wanasheria cha Zanzibar (ZLS), Omar Said Shaaban, kwenye mfululizo huu wa Zaima Sheria.

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles