Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tusiruhusu kutawaliwa na mademagogi

BAADA ya mkasa uliomkuta Halima Mdee, Mbunge wa Kawe, wiki iliyopita, nimekumbuka kwa uchungu, mazungumzo yangu na waandishi wa habari tarehe 12 Februari 2017, ofisini kwangu Mwanza, anaandika Ansbert...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngeleja, shujaa au fisadi aliyeogopa?

Makala hii imeandikwa na Julius Mtatiro, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF) kwenye ukurasa wake wa Facebook ikiwa na kichwa cha habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama kichwa cha treni

Naendeshwa, kama kichwa cha treni Hidogoshwa, kama yaya wa nyumbani Hichezweshwa, kama vile punguani Hiamka, ni mbio kutwa ni njiani Hekaheka, za kutisha insani Hivunjika, wananitupa jaani Niendako,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif anaringia uadilifu wake

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, ana sifa ya kuuthibitisha ukweli anaouamini hata akiueleza kwa namna ya kubashiri kinachoweza kuja mbele ya safari. Sifa hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pale serikali inapoboresha maslahi wasio Wazanzibari ndani ya Zanzibar na...

Tarehe 2 Julai 2017, kwa nia wizara ya kazi, uwezeshaji, wazee, vijana, wanawake na watoto ilitangaza kima kipya cha mishahara kwa wafanyakazi wa sekta binafsi Zanzibar kupitia Waraka wa Sheria Nambari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SMZ iondowe utata kima cha mishahara sekta binafsi

Nimelichukuwa tena na kulisoma kwa makini zaidi agizo la serikali lililochapishwa katika Waraka wa Sheria Nambari 68 (The Legal Notice No.68) kuhusu ongezeko la mshahara wa kima cha chini kwa sekta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania ni wajinga si wapumbavu

KAULI chafu za Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, kila mara anapofungua kinywa chake kuzungumza dhidi ya wale anaowahesabu kuwa wapinzani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaudhi, lakini hazishangazi. Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, Tanzania yaweza kupata maendeleo ya kiuchumi kwa kubaka demokrasia?

Shutuma kwamba utawala wa awamu ya tano wa Rais John Magufuli unaibinya roho demokrasia changa ya taifa hili kubwa kabisa Afrika Mashariki zina mashiko yake kwa kuangalia rikodi ya yale yanayotendwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubaguzi ni asili ya serikali dhalimu

TUKIO la Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, Mwinyi Usi Makame kufika hospitalini kumjulia hali kijana anayefanya kazi ya utingo wa daladala aliyejeruhiwa na wahuni akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lissu atiwa nguvuni

SIKU moja baada ya polisi kumhakikishia Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema kuwa yupo huru na hakuna mpango wa kumkamata, hatimaye leo Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limemkamata akiwa uwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwani upinzani wa kisiasa ni adui wa maendeleo?

ZIMEKUWEPO  hisia miongoni mwa nchi za Kiafrika kuwa upinzani wa kisiasa ni kama njia ya kuzorotesha maendeleo! Hisia hizo zinatolewa na serikali zinazokuwa zimeingia madarakani kwa njia ya kudai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Guantanamo isifananishwe Segerea

SI sahihi sana kumuingiza Rais John Magufuli katika chungu kimoja tu cha kuukosoa utendaji wake wote. Yapo ambayo anapatia, na kwa nionavyo, kwa hayo, amekuwa mfano kwa viongozi wengine. Mapambano yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiburi kinachoelezea shibe hakifai

KIBURI ni uovu uliokatazwa na maandiko matakatifu. Mwenye nacho amedharau utu. Ni kwa maana hiyo hata wahenga walifikia hitimisho la kuwa na methali ya Kiswahili inayosema ‘kiburi si maungwana.’...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Riziki Shahari: Mamlaka ya Bunge kikatiba siyaoni

UKIJUA historia ya ujanani kwake alivyokuwa akisoma hadi alipohitimu elimu ya kidato cha tano katika Shule ya Wasichana ya Korogwe mwaka 1980, ndio utaelewa ni kwa nini leo Riziki Shahari Mngwali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Escrow ichunguzwe upya

KASHFA ya kuchotwa fedha zilizokuwa zikibishaniwa na washirika wawili wa kibiashara hapa nchini – Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kampuni ya IPTL – Akaunti ya Tegeta Escrow – imeibuka upya kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nguzo ya pili ya mitaji ya mafanikio ni fikra

Katika makala ya juma lililopita niliweka bayana kwamba nguzo ya kwanza ya mitaji ya mafanikio ni Afya Njema ya Mwili. Mwili wenye afya njema ndicho chombo cha kutekelezea mawazo yako endapo ni mazuri,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

La Zanzibar kufukuzwa CAF, tuangalie tulipojikwaa

Ijumaa ya tarehe 21 Julai 2017 itachukuwa muda mrefu kwangu kusahaulika. Kwenye ukurasa wa Facebook, mtumiaji mmoja alikuwa ametuma taarifa iliyoandikwa na dawati la michezo la mtandao wa Shirika la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinachowafanya Uamsho waendelee kusota rumande

Serikali zote duniani zinakuwa na nguvu nyingi, ukiacha vyombo vya dola ambavyo siku zote husimama imara vikiwa upande wao, hata ikitokea serekali inaboronga basi wao huendelea tu kusimama nayo. Ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lipumba na ugonjwa wa kutokuwa na uhakika

Ni kitendo kilichowaumiza wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), pale Prof. Ibrahim Lipumba alipotangaza kujiuzulu wadhifa wake wa uwenyekiti wa chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015. Si tu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli anawauzia Watanzania tamaa ya maendeleo kwa gharama ya demokrasia yao

Kwa hakika, Rais John Magufuli anaonekana kuwalazimisha raia wake kufanya naye biashara ya gizani. Yeye awauzie maendeleo, nao wamlipe kwa gharama ya demokrasia angalau hadi mwaka 2020 wakati wa...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live