Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Julai 5

Kukamatwa tena kwa mfanyabiashara Yussuf Manji, kauli mpya ya Rais Magufuli kuhusu zuio la leseni za madini na kukamatwa kwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, ndizo mada kuu kwenye kurasa za mbele...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndiyo kwa ‘uchumagu’, hapana kwa ‘umagukrasia’

Kitu kimojawapo ambacho Rais John Magufuli anajipambanuwa nacho kwa haraka na watangulizi wake, ni tabia yake ya kutokuwa na ajizi na vile kutozingatia kwake mipaka kwenye huko kutokuwa na ajizi. Hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siasa ni utalii kwa Nyanda za Juu Kusini Magharibi

Mahali popote penye vivutio vya utalii panapaswa kujihusisha na siasa za utalii ili kujadiliana, kujipanga na kuainisha sera na mikakati ya kuendeleza na kutangaza vivutio vya utalii vinavyoweza kuinua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiwani wa CUF wamsuta Lipumba, waungana na Maalim Seif

Madiwani 19 wa Chama cha Wananchi (CUF) katika jiji la Dar es Salaam wameungana na Katibu Mkuu wa chama chao, Maalim Seif Sharif Hamad, wakimtuhumu mwenyekiti wa zamani, Ibrahim Lipumba, kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa awang’ang’ania wanaopata ujauzito shuleni

Kwa mara nyengine tena, serikali ya Rais John Magufuli imepigia msumari kwenye msimamo wake wa kutokuwakubalia wanafunzi wa sekondari na msingi wanaopata ujauzito kurejea masomoni baada ya kujifunguwa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Julai 6

Mashitaka mapya dhidi ya mfanyabiashara Yussuf Manji, kauli ya mkuu wa jeshi la polisi, IGP Simon Sirro, kuhusu mauaji ya Kibiti, na kuendelea kuandamwa kwa viongozi wa upinzani ndizo mada kuu kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya kukung’utwa na madiwani wa Dar, sasa Lipumba atemwa na kanda 6 Bara 

Wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wa kanda sita za Tanzania Bara wameungana na madiwani 19 wa jiji kuu la kibiashara na kiuchumi, Dar es Salaam, kumkana mwenyekiti wa zamani wa chama chao, Profesa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto Masoud anahitaji msaada wako

Mtoto Masoud Khalfan Sanani ana umri wa miaka minane na ni mwanafunzi wa skuli ya msingi. Anaishi na wazazi, bibi na ndugu zake, Fuoni Michenzani, kando kidogo ya kitovu cha mji mkuu wa Zanzibar. Kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Julai 7

Mauaji ya jeshi la polisi dhidi ya wanaoshukiwa kuwa ‘wauaji’ wa Kibiti, kujiuzulu kwa jaji mwengine wa Mahakama Kuu, na kumalizika kwa muda wa rufaa za vyeti feki na kwenye kurasa za michezo ni msiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapinduzi kwenye muziki ni muhimu 

KWA  mara ya kwanza Tanzania imeamua kuithamini sanaa ya muziki na kuichukulia kama njia mojawapo inayoweza kuwaingizia kipato halali wale wanaojihusisha nayo ikiwa ni pamoja na kuliingizia kipato...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idris Sultan aula Hollywood 

Baada ya wiki ya mchakato wa ukaguzi wa karibu, Mshindi wa Big Brother Africa-Hotshots wa 2014, Idris Sultan ataonekana katika filamu inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ya Kimarekani ya ‘Ballin …On the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Julai 8

Uwezekano wa kupatikana ufumbuzi wa tatizo sugu la madawa mahospitalini, yanayozidi kuwaandama wapinzani kutoka vyombo vya dola, na hatua zaidi dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi ndizo mada kuu leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madaraka yatumiwayo vibaya ni janga kwa taifa 

MAMLAKA  na madaraka ni vitu hatari. Vinahitaji umakini mkubwa kuvimudu. Ni kwa sababu vitu hivyo wakati mwingine vinalevya na kumfanya aliye juu yavyo kujisahau na kujiona ni kitu kingine tofauti na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Julai 9

Mauaji ya polisi dhidi ya watu sita wanaoshukiwa kuwa wauaji wa Kibiti mkoani Mwanza, mauaji ya mtu mmoja anayeshukiwa kuuawa na wauaji wa Kibiti huko huko Kibiti, na mwendelezo wa uchambuzi wa kesi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zaidi ya wasichana 200,000 waolewa Marekani 

Wakati mataifa tajiri ya Magharibi yakijidai kukazana kutoa mafunzo ya ustaarabu, haki za binaadamu na maadili kwa mataifa masikini duniani, ukweli ni kuwa ndani ya mataifa hayo kwenyewe kuna uvunjwaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lipumba apingwa kila kona, sasa zamu ya Unguja

Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) wa wilaya zote saba za kisiwa cha Unguja wamejitokeza hadharani kumpinga aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, wakimshutumu kwa kushirikiana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Julai 10

Kuitwa tena kwa Edward Lowassa katika Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai, kauli za Benjamin Mkapa juu ya uwajibikaji na haki na dhamira ya serikali ya Rais John Magufuli kujenga bwawa la umeme...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na mwanamme wa kwanza kujifunguwa mtoto Uingereza 

Mwanamme wa kwanza kuwahi kupata ujauzito nchini Uingereza amejifunguwa salama mtoto wa kike.  Hayden Cross mwenye umri wa miaka 21 alipata umaarufu duniani pale alipotangaza kwamba ana ujauzito...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngeleja arejesha chenji ya Escrow

Waziri wa zamani wa nishati na madini wa Tanzania Bara, William Ngeleja, anasema amezirejesha fedha zote alizopewa ‘msaada’ na mfanyabiashara James Rugemalira mwaka 2014, akidai kuwa hakujuwa kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yaungana na CUF kumng’oa Lipumba 

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinasema sasa kinauvaa mgogoro wa kiuongozi kwenye mshirika wake, Chama cha Wananchi (CUF), ambacho kinadai...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live