Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Happy Birthday CCM!

Imenichukuwa dakika tano tu hivi hadi kuwaza niandike nini kama sehemu ya zawadi kwa chama changu na marafiki zangu wa chama cha Mapinduzi CCM! Nimeona ni kheri kuandika kwa sababu si wote wenye uwezo...

View Article


Wazanzibari wapaswa kuyaelewa maradhi ya moyo

Upo msemo wa Kiswahili usemao “Ukitaka kumuua paka anza kwa kumpa jina baya”, ambao huelezea namna watu wanavyoharamisha au kuhalalisha jambo kwa kuanza na kukivunjia hadhi yake. Wagonjwa wa maradhi...

View Article


Nyerere hakuwa na insafu juu ya Muungano

MARA ya mwanzo kabisa kukutana na Mwalimu Julius Nyerere, uso na macho, ilikuwa 1968 jijini London ndani ya ukumbi mmoja wa hoteli iitwayo Hyde Park Hotel.  Hoteli hiyo iko mkabala wa uwanja wa Hyde...

View Article

JPM ameshinda walau kwa sasa

“LINI?”  Ni swali nililojiuliza, mara kwa mara, tangu Januari 8 mwaka jana kila nilipomsikia Edward Lowassa akitajwa.  Januari 8, 2018, ndiyo siku Lowassa alipopokewa rasmi Ikulu na Rais John Pombe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif na Jahazi la Nuh

Kinachoendelea hivi sasa katika siasa za Tanzania, kwa ujumla, hasa kwa upande wa Zanzibar katika Chama Cha Wananchi (CUF) kimenifanya nikumbuke tarekhe za visa vya Mitume na kwa muktadha wa makala...

View Article


Maalim Seif, ‘The Terminator’

Kwa wale wapenzi wa filamu ya Hollywood, wataikumbuka filamu maarufu ya The Terminator, ambayo muhusika wake mkuu, Arnold Schwarzenegger, anapambana na maadui zake vya kutosha. Lakini bahati mbaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif una mkate gaeni

Leo nimetafuta muda nikasoma kwa kituo taarifa iliyochapishwa hivi karibuni na Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia tasnia ya ubunifu na uvumbuzi linaloitwa kwa Kiingereza World Intellectual...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Algeria: Darasa za bure barabarani

KATIKA maktaba yangu nina kitabu, kijitabu kwa hakika, chenye kufundisha namna ya kufanya mashambulizi ya kigaidi katika miji kwa lengo la kupindua serikali. Kinaitwa “Minimanual of the Urban Guerilla”...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sudan: Mapinduzi bado kukamilika

NADHANI ni kweli kwamba madikteta wote ni vichaa. Hakuna dikteta mwenye akili timamu. Ndiyo maana ninakubaliana na mwandishi wa Kituruki Mehmet Murat Ildan kwamba hakuna mtu anayeweza kuwa dikteta ila...

View Article


Khalifa Hatfar: Kibaraka wa Marekani au mwokozi wa Libya?

MMOJA wa wapashaji wangu wakuu wa habari za Libya nilipokuwa mhariri wa gazeti la Africa Analysis jijini London alikuwa mtu ambaye aliponipigia simu kwa mara ya mwanzo alijitambulisha kwa jina la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masauni amelewa pombe gani?

Kijijini kwetu alikuwepo mzee mmoja ambaye alikuwa maarufu sana.  Miongoni mwa mambo yaliyompa umaarufu ni jinsi alivyokuwa mweledi katika elimu ya dini ya Kiislamu kiasi cha kuwafundisha baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muungano unalindwa kwa nguvu

RAIS Ahmed Abdallah wa Comoro aliyeuliwa Novemba 26, 1989 na askari wa kizungu aliowakodi mwenyewe, anakumbukwa kwa mengi.  Kuna wanaomuona kuwa shujaa kwa kuthubutu kuikabili Ufaransa na kutangaza...

View Article

Algeria: Darasa za bure barabarani

KATIKA maktaba yangu nina kitabu, kijitabu kwa hakika, chenye kufundisha namna ya kufanya mashambulizi ya kigaidi katika miji kwa lengo la kupindua serikali. Kinaitwa “Minimanual of the Urban Guerilla”...

View Article


Sudan: Mapinduzi bado kukamilika

Al Bashir hakuwa na uungwana huo. Aliipindua serikali iliyochaguliwa ya Waziri Mkuu Sadiq al Mahdi baada ya serikali hiyo kuanza mashauriano na waasi wa Sudan Kusini. Ajabu ya mambo ni kwamba miaka...

View Article

Khalifa Hatfar: Kibaraka wa Marekani au mwokozi wa Libya?

Haftar anaishtumu serikali ya Tripoli kuwa imejaa magaidi na amekuwa akidai kwamba lengo lake ni kuwapiga vita magaidi wote wenye kufuata mielekeo mikali ya Kiislamu kama vile wafuasi wa Dola ya...

View Article


Masauni amelewa pombe gani?

Kijijini kwetu alikuwepo mzee mmoja ambaye alikuwa maarufu sana.  Miongoni mwa mambo yaliyompa umaarufu ni jinsi alivyokuwa mweledi katika elimu ya dini ya Kiislamu kiasi cha kuwafundisha baadhi ya...

View Article

Muungano unalindwa kwa nguvu

RAIS Ahmed Abdallah wa Comoro aliyeuliwa Novemba 26, 1989 na askari wa kizungu aliowakodi mwenyewe, anakumbukwa kwa mengi.  Kuna wanaomuona kuwa shujaa kwa kuthubutu kuikabili Ufaransa na kutangaza...

View Article


ACT-Wazalendo yakemea rushwa kwenye uchaguzi

Chake-Chake, PEMBA: Chama cha ACT-Wazalendo kimeapa kuwachukulia hatua za kinidhamu wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho watakaobainika wakijihusisha na vitendo vya rushwa....

View Article

Khalifa Hatfar: Kibaraka wa Marekani au mwokozi wa Libya?

MMOJA wa wapashaji wangu wakuu wa habari za Libya nilipokuwa mhariri wa gazeti la Africa Analysis jijini London alikuwa mtu ambaye aliponipigia simu kwa mara ya mwanzo alijitambulisha kwa jina la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masauni amelewa pombe gani?

Kijijini kwetu alikuwepo mzee mmoja ambaye alikuwa maarufu sana.  Miongoni mwa mambo yaliyompa umaarufu ni jinsi alivyokuwa mweledi katika elimu ya dini ya Kiislamu kiasi cha kuwafundisha baadhi ya...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live