Kijijini kwetu alikuwepo mzee mmoja ambaye alikuwa maarufu sana. Miongoni mwa mambo yaliyompa umaarufu ni jinsi alivyokuwa mweledi katika elimu ya dini ya Kiislamu kiasi cha kuwafundisha baadhi ya aalim wakubwa katika kijiji hicho. Pamoja na taaluma aliyokuwa nayo, alikuwa mpenzi mkubwa wa pombe. Kwa ufupi alikuwa mlevi, unaweza kusema wa kupindukia. Katika sikukuu moja… Continue reading Masauni amelewa pombe gani?
↧