Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ningekuwa kada… 

Kwanza ningetetea yote yatendwayo na utawala wa nchi yangu, tena kwa mitusi yote, vitisho na kejeli, kwa kujikweza wakati tumboni hamuna hali. Ningegombana na kuhasimiana na yeyote ili nionekane nami...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 6 Juni 2017 

Kuagwa kwa mwili wa Marehemu Mzee Phelomon Ndesamburo, aliyekuwa mwasisi wa CHADEMA na pia mbunge wa muda mrefu wa Moshi Mjini sambamba na hatua ya Bunge kuwazuwia wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Mghwira aanza rasmi ukuu wa mkoa wa Kilimanjaro 

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM – Tanzania Bara),  Rodrick Mpogolo, akimkabidhi ilani ya uchaguzi ya CCM Mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro, Mama Anna Mghirwa, mara tu baada ya kuapishwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mauaji ya Imamu ‘yamfuata’ IGP Sirro kila aendapo

Familia ya kijana Salum Mohammed Almasi aliyeuawa na jeshi la polisi jijini Dar es Salaam katikati ya mwezi uliopita kwa tuhuma za ujambazi, imeendelea kumuandama Mkuu wa Polisi, IGP Simon Sirro,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 7 Juni 2017 

Kuapishwa kwa mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghirwa, kuzikwa kwa Mzee Phelomon Ndesamburo, na ziara ya IGP Simon Sirro huko Kibiti na Rufiji ndizo mada kuu katika safu za mbele za magazeti ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kifo cha mwanafunzi Pemba kisitumike kuadhibu kisiwa kizima kielimu

Nianze makala yangu kwa kuwapa pole wazazi wa mtoto aliyepatwa na faradhi ya kifo ambacho kinaelezwa kusababishwa na adhabu ya kupitiliza kutoka kwa walimu wake kwa kosa linalodaiwa la kuiba solatepu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoto za Dubai, Singapore zinavyoyeyuka Z’bar

  Ilikuwa ni asubuhi ya siku ya Jumapili ya Mei mwaka huu, ndipo nilipopokea barua-pepe kutoka kwa mwanahistori na gwiji wa fasihi ya Kiswahili na msomi wa sanaa, Professa Ibrahim Noor, mzaliwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hata bila bakora, malezi yetu yanaweza kuwa bora

Chimbuko hasa la makala hii ya leo ni tukio la hivi karibuni kisiwani Pemba, ambako mwanafunzi wa miaka 11, Saleh Abdullah Masoud, alifariki dunia siku tatu baada ya kupigwa na kuadhibiwa vikali na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mghwira si mwenyekiti tena ACT

Licha ya hapo awali kuripotiwa akisema kwamba angeliendelea na uwenyekiti wa chama chake cha ACT-Wazalendo hata baada ya kuapishwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro, sasa Bi Anna Elisha Mghwira si...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya Mutungi kwa CUF yamkera Mbatia

Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ambaye pia ni mbunge wa Vunjo na mwenyekiti wa taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amemtaka Jaji Francis Mutungi kutekeleza kweli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Sirro, gunia la misumari lipo utosini pako

Siku zote dhulma huzaa chuki, chuki ikazaa visasi na visasi vikazaa vifo au ulemavu. Lakini pia inapostawi dhulma, barka hutoweka kwani kimaumbile barka ni tunda la haki. Amani ni miongoni mwa barka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rufiji hakufungiki hakufuturiki

Mauaji ya kuvizia yanaendelea kulikumba eneo la Kibiti, Rufiji na Mkuranga ambapo askari mwengine wa mgambo anatajwa kupigwa risasi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 8 Juni 2017 

Makisio kuhusu itakavyokuwa bajeti kuu ya Tanzania itakayosomwa leo na waziri wa fedha bungeni, kuondolewa kwa Anna Mghwira kwenye uwenyekiti wa ACT Wazalendo, kuendelea kuzorota kwa hali ya usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF yaja juu viongozi wake kukamatwa

Chama cha Wananchi (CUF) kimelijia juu jeshi la polisi kwa kile kinachosema ni kukamatwa kwa viongozi wake wa Mkoa wa Pwani, katika wakati ambapo mauaji na mashambulizi ya kuvizia yanaendelea kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Suala la Pwani lisiachwe kwa Polisi peke yao

KINACHOENDELEA  kwa sasa katika maeneo ya mkoa wa Pwani, hasa Mkuranga, Kibiti na Rufiji, ni hali ya hatari. Sidhani kama kuna Mtanzania yeyote anayependezwa na kitu hicho au anayeweza kuona hilo ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 9

Mada kubwa leo ni bajeti iliyowasilishwa jana na waziri wa fedha na kwenye michezo ni Yanga kufuata nyayo za Simba kwenye mashindano ya SportPesa.  Filed under: MAGAZETINI LEO Tagged: bajeti, magazeti,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilichokosekana kwenye bajeti ni usalama wa mkulima

Wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, niligombea ubunge katika Jimbo la Busokelo kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo. Endapo ningechaguliwa kwa kura nyingi na kuwa mbunge niliazimia kwa dhati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na mwanamke aliyemzaa nduguye 

Mwanamke mmoja nchini Uingereza amezaa na baba yake wa kambu ili kumuwezesha mama yake mzazi kupata mtoto mwengine.  Mama mzazi huyo, Jacky Edwards mwenye umri wa miaka 47, hakuwa tena na uwezo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 10 Juni

Mengi yanachambua bajeti iliyowasilishwa juzi bungeni na waziri wa fedha wa Tanzania Bara na mengine yanagusia mauaji yanayoendelea sasa mkoani Pwani. Kwenye safu za michezo, pamoja na mengine, ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa CUF waendelea ‘kutekwa’ 

Kuna taarifa kwamba watu wanaoshukiwa kuwa maafisa wa vyombo vya dola wanaendelea na operesheni ya kimyakimya ikiwalenga mahsusi viongozi wa ngazi za chini wa Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Pwani....

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live