Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Kama ulidhani Z’bar haiwezi kujitosheleza kwa chakula, ulikosea

$
0
0

Rehema Leonard Yohana alihama kwao Dodoma, uliko mji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tangu mwaka 1997 na kupageuza Zanzibar kuwa nyumbani pake na watoto wake, na sasa sio tu kwamba anatumia maarifa yake kukifanya kilimo cha mahindi kuwa njia kuu ya maisha yake, bali pia anavunja mwiko kuhusu uwezo wa Zanzibar kujitegemea kwa chakula. Anasema Zanzibar inaweza. Angalia vidio yake hapa:

 


Filed under: VIDIO

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles