Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amina asiyeaminika 

Katika majadiliano yake na mwandishi wa gazeti la Nipashe yaliyochapishwa jana, unaweza kuuona kirahisi mughma alionao Balozi Amina Salum Ali, baada ya kuhusika moja kwa moja katika uchafuzi wa suluhu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 1 Juni 2017 

Kifo cha ghafla cha aliyekuwa Mbunge wa Moshi Mjini na pia Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Kilimanjaro, Philemon Ndesamburo ndiyo habari iliyopewa kipaumbele kwenye magazeti mengi ya leo, ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujasiriamali ni kujiamini

Ujasiriamali una siri nyingi sana. Mojawapo ni kuuamini na kujiamini kuwa ulipo ndipo, unachokitenda ni sahihi, na misukosuko iliyomo ndani yake ni sehemu ya mafanikio makubwa ya baadaye. Ndicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bado CUF, Uzanzibari ‘vyamuuma’ Said Miraj

Wakati Chama cha Wananchi (CUF) kikiendelea kupita kwenye moja ya vipindi vyake vigumu kabisa kwenye historia yake ya nusu karne, Said Miraj Abdullah, ambaye aliwahi kushikilia nafasi nyingi za juu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wacheni propaganda, ukatili hauna kabila wala dini

Kuna video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii tangu katikati ya mwezi Mei mwaka huu, ikimuonesha Mmanga (Mwarabu) anampiga mwanamke kwa sapatu, lakini hatuelezwi na hiyo video huyo mwanamke ni nani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unajuwa maana ngapi za ‘shibe’ na ‘njaa’? 

Nathalie Arnold ametumia muda mwingi kufanya utafiti kisiwani Pemba kuhusiana na lugha na mahusiano ya kijamii na moja ya ugunduzi wake ni namna Wapemba wanavyofasili shibe, njaa na vyakula kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 2 Juni 2017 

Leo magazeti mengi yanazungumzia hotuba ya jana ya Rais John Magufuli akizinduwa mfumo wa kulipia kodi kwa njia ya elektroniki, akitaka kampuni zote za madini na mawasiliano zijisajili haraka ama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fursa Kijani na ukombozi wa vijana Zanzibar

“Tukiwezeshwa tunaweza” ni msemo maarufu hasa kwa wanawake ambao wanajishughulisha na ujasiriamali kwa ajili ya kujiletea maendeleo. Lakini msemo huu unatafisiriwa vizuri hapa Zanzibar ambapo vijana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa nini siwezi kuuamini muhimili huu katika madini 

Wabunge wa chama fulani na ambao kutokana na wingi wao ndio waamuzi wa kila kitu kwenye muhimili huo uliotakiwa kuwa muhimu nchini petu, nao wanataka tuwaamini na tuliamini bunge hili kwenye hili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama asimulia siku za mwisho za mwanawe aliyepigwa na walimu

Mwanafunzi Saleh Abdullah Masoud mwenye umri wa miaka 11 amefariki dunia kisiwani Pemba, baada ya kupigwa na kuadhibiwa na walimu wake wa skuli ya Laurent International. Hapa mama yake anasimulia siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“Mama waulize walimu wangu, niliwakosea nini?”

Kabla ya kifo chake kilichosababishwa na kipigo na adhabu alizopewa na walimu wake katika skuli ya Laurent International kisiwani Pemba, mwanafunzi Saleh Abdallah aliyekuwa na umri wa miaka 11 wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujenzi wa reli ya Dar – Moro sasa rasmi

Shirika Hodhi la Rasilimali za Reli la Tanzania Bara (RAHCO) limetangaza kukamilika kwa malipo ya awali ya ujenzi wa reli mpya ya umeme ambayo itaanzia Dar es Salaam hadi Morogoro. Akiongea na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anna Mghwira wa ACT ndiye mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

Rais John Magufuli amemteuwa aliyekuwa mgombea mwenzake wa urais kwenye uchaguzi wa 2015 kupitia chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro kujaza nafasi iliyowachwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yaapa kumuaga Ndesamburo ‘viwavyo naviwe’

Muda mchache baada ya kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuripotiwa kuzuia matayarisho ya kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Moshi Mjini, Marehemu Mzee Phelomon Ndesamburo, katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Zanzibar na viti vyao vya barafu 

Jiwe la barafu lililoivia baridi kali liko mithili ya chuma. Hufanana na chuma kwa uzito na hata ugumu wake. Likikuangukia mguuni ni sawa tu na uliyeangukiwa na kipande cha chuma kwa kile kishindo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF yahamia ofisi mpya, yamuachia Lipumba Buguruni

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, leo amezinduwa rasmi jengo la ofisi za chama hicho ambazo zitatumika kama ofisi ya wabunge na vile vile kama eneo mbadala kwa shughuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif asema serikali ya Shein haipo kikatiba na itaondoka 

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema serikali ya Zanzibar inayoongozwa sasa na Dk. Ali Mohamed Shein haipo kikatiba na kwamba lazima itaondoka.  Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lipumba si mtu wa suluhu – Maalim Seif

Huku mgogoro uliozushwa kwenye Chama cha Wananchi (CUF) ukiwa hauonekani kumalizika kwa siku za karibuni, Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, amerejelea msimamo wake kuwa haoni haja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM inajiandalia kiama chake yenyewe

CHAMA CHA MAPINDUZI kinachotawala nchini Tanzania ni muunganiko wa vyama viwili vya siasa: TANU  kwa upande wa Tanzania Bara na ASP kwa upande wa Zanzibar. Kwa hapa nataka niiangalie CCM ya upande wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usiichome kisu Zanzibar!

Hakuna mtu mwenye  akili timamu ataunga mkono tukio la hivi karibuni mjini Unguja ambapo watu sita walichomwa visu. Haihitajiki nguvu nyingi za kufikiria ili uelewe kuwa kilichofanywa sio sahihi. Licha...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live