Quantcast
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mimi ni Profesa

Mimi ni Profesa, nina PhD ya Political Science Na ng’ombe wa maziwa, na magari ya kubeba kifusi Nyumbani kwangu hakuna vitabu, kuna nyasi Mara ya mwisho nilisoma Chuo cha Barkley Waendako watu teule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumepigwa tena, mchanga wa dhahabu aibu tupu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapoteza kati ya Shilingi bilioni 829.4 na shilingi trilioni 1.439 kutokana na kusafirisha mchanga wenye madini nje ya nchi, kwa mujibu wa mwenyekiti wa Tume ya Rais ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchanga wa dhahabu wenda na Muhongo

Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, kuachia nafasi hiyo kwa hiyari yake kufuatia ripoti ya Kamati Maalum ya Kuchunguza Mchanga wa Madini kumuonesha kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sasa ni rasmi, Muhongo out

Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.   Hatua hiyo inajiri masaa machache tu tangu Rais Magufuli kumtaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kishaanza kunuka, ACACIA yakanusha ‘kupiga’ mchanga wa madini

Moja ya kampuni zinazotajwa na ripoti ya Profesa Abdulkarim Mruma iliyowasilishwa leo kwa Rais John Magufuli, ACACIA Mining Plc, imekanusha kile kinachotajwa kuwa ni ‘wizi wa madini’ kupitia mchanga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 25 Mei 2017 

Habari kubwa kuliko zote ni uwasilishwaji wa ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini unaosafirishwa nje ambayo imeibuwa kiwango kikubwa cha utoroshaji madini na pia kumuangusha waziri mwenye dhamana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif akutana na ujumbe wa NDI ya Marekani 

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, jana alimkaribisha na baadaye kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 27 Mei 2017 

Mashaka mengi yazidi kuibuliwa kwenye sakata la mchanga wa madini unaosafirishwa nje ya nchi, na kwenye michezo ni mechi kati ya Mbao FC na Simba SS.  Filed under: MAGAZETINI LEO Tagged: ACACIA,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

La mchanga na uovyo wa Muhongo

Rais wa nchi aliyechaguliwa kidemokrasia hawezi kukubalika kwa watu wote anaowaongoza,  ni lazima uwepo upinzani toka upande wa pili. Ikitokea rais akakubalika kwa watu wote kitu demokrasia kitakuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo tarehe 28 Mei 2017

Kumalizika kwa mkutano mkuu wa CHADEMA, uchambuzi kuhusu mchanga wa madini unaosafirishwa nje, na michezo ni ushindi wa Simba Sports Club dhidi ya Mbao FC hapo jana.  Filed under: MAGAZETINI LEO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli ambwaga Mangu 

Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemuondosha mkuu wa jeshi la polisi, IGP Ernest Mangu, na nafasi yake kuchukuliwa na kamanda wa polisi wa kanda maalum ya Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 29 Mei 2017 

Mada kuu takribani kwenye magazeti yote ni ile ya kung’olewa kwa mkuu wa polisi, IGP Ernest Mangu, na nafasi yake kuchukuliwa na kamanda wa polisi wa kanda maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro. Kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ishangia Ramadhani

Ishangia Ramadhani, nianze fanya hashuo Nijiweke kiblani, hijifanya mwanachuo Ilhali ni shetani, nawavua watu nguo Ikingia Ramadhani, mimi hujifanya mwema Nikalisha majirani, wanyonge na mayatima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 30 Mei 2017 

Kuapishwa kwa mkuu mpya wa polisi, IGP Simon Sirro, kuendelea kwa mjadala mkali juu ya hatua ya Rais John Magufuli kuzuwia mchanga wa madini unaosafirishwa nje na kwenye michezo, bado mwangwi ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miaka 60 CCM imeshindwa kuonesha ubora wake

MTU  mmoja nisiyeelewa yuko upande gani kiitikadi, kama anafuata itikadi za upinzani au za chama tawala, kanipa wazo la kufikirisha kama mojawapo ya changamoto za kisiasa. Kanitumia ujumbe mfupi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzanzibari na utaifa wa ncha tatu

Anuani ya mjadala huu inalazimika kuwa refu kutokana na haja iliyopo ya kufafanua na kuweka wazi utata uliopo katika jamii na siasa za Zanzibar ambazo zimefanywa kuwa na utamaduni wa kuakisi utata huo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siasa ndizo hufuta mfafano wetu

  Panza ni moja ya visiwa vinavyounda nchi nzima ya Zanzibar, ambayo ni mkusanyiko wa visiwa vingi, vikubwa vikiwa ni Pemba na Unguja. Kisiwa hiki kipo karibu zaidi na kisiwa cha Pemba kwa upande wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 31 Mei 2017 

Mjadala na ufafanuzi zaidi wa uteuzi wa IGP mpya, suala la mchanga wa madini unaosafirishwa nje, na bajeti ya serikali na kwenye michezo ni kuanza kwa usajili kwa timu za Yanga na Simba.  Filed under:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF yaishambulia SMZ kwa ubaguzi

Chama cha Wananchi (CUF), ambacho kinaamini kuwa kiliporwa ushindi wake kwenye uchaguzi wa Oktoba 2015 visiwani Zanzibar, kimeilaani Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inayoongozwa na Dk. Ali Mohamed...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ningekuwa Magufuli…

Najuwa kuwa kuna wakati Rais John Magufuli alitamani lau angelikuwa mkuu wa polisi ili “alale nao mbele kwa mbele” wale anaowaona kuwa wanaleta mchezo na dola. Inaonekana pia amiri jeshi mkuu wetu huyu...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live