Mwanafunzi Saleh Abdullah Masoud mwenye umri wa miaka 11 amefariki dunia kisiwani Pemba, baada ya kupigwa na kuadhibiwa na walimu wake wa skuli ya Laurent International. Hapa mama yake anasimulia siku za mwisho za mwanawe.
Mahojiano yamefanywa na Idhaa ya Kiswahili ya DW Ujerumani.
Filed under: SAUTI Tagged: kifo, Mwanafunzi, pemba
