Huku mgogoro uliozushwa kwenye Chama cha Wananchi (CUF) ukiwa hauonekani kumalizika kwa siku za karibuni, Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, amerejelea msimamo wake kuwa haoni haja ya kukutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa mwenyekiti wake, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba, ambaye bado anatambuliwa na msajili wa vyama vya siasa kama kiongozi wa chama hicho.
Angalia vidio hii hapa:
Filed under: VIDIO Tagged: CCM, cuf, Maalim Seif Sharif Hamad, Profesa Lipumba