Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trump hudanganya mara 5 kwa siku

Rais Donald Trump wa Marekani ameshatoa madai ya uongo zaidi ya mara 1,000 tangu aingie Ikulu ya White House, linaripoti gazeti la Washington Post. Madai hayo ni yanajumuisha kauli kadhaa kuwa Sheria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali inapojibu mabomu ya Lissu kwa risasi za maji

Inaonekana mtazamo wa serikali ya Rais John Magufuli kumuelekea mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Tundu Lissu, unaanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitendawili cha Angola bila ya dos Santos

Na AHMED RAJAB KWA muda mrefu tangu miaka ya mwisho ya 1960 nimekuwa nikizururazurura barani Afrrika nikinusanusa siasa au kusaka habari. Nimezizuru nchi zilizokuwa na amani pamoja na zilizokumbwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKUTA umefunua siri ya Tanzania – Lissu

Kwa muda mrefu watu wengi wamekuwa wanafikiri kwamba nchi yetu inatawaliwa na chama cha siasa, yaani CCM. Hata hivyo, wapo wachache ambao walishaanza kuhoji kama CCM ni chama cha siasa hata kabla mfumo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiashara ‘wampa siku 30’ Magufuli

UONGOZI wa wafanyabiashara wa Tanzania bara na Zanzibar wametoa siku 30 Rais John Magufuli kuhakikisha anatatua changamoto zinazowakabili katika shughuli zao vinginevyo maduka yote hata ya vichochoroni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete si wa kuyasema haya

Katika wiki iliyopita, vyombo vya habari nchini Tanzania vilijawa na habari na tahariri kuhusu marais wawili wastaafu wakiwa kwenye jukwaa la viongozi wastaafu wa Afrika nchini Afrika Kusini. Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania hailiwi na rushwa pekee, bali pia na ufisadi wa kisiasa

Majuzi Rais John Magufuli alimuapisha Brigedia Jenerali John Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana  na Rushwa (TAKUKURU) akiweka msisitizo kwamba anataka kuona wala rushwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uamuzi wa Mahakama ya Juu Kenya ufuatiwe na marekebisho

Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya DW, Andrea Schmidt, anasema baada ya Mahakama ya Juu ya Kenya kuufuta uchaguzi na kuamuru mwengine, sasa ni wakati wa Kenya kuendelea kuonesha njia kwa kuheshimu maamuzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kenyatta ‘aishambulia’ idara ya mahakama

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya anasema kuwa nchi hiyo ina “tatizo fulani” na idara ya mahakama ambalo lazima lirekebishwe, huku akiinya idara hiyo kutoingilia kati majukumu ya tume ya uchaguzi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuru aiambia mahakama isijaribu kuingilia kati uchaguzi

Siku moja tu baada ya Mahakama ya Juu nchini Kenya kuufutilia mbali uchaguzi wa Agosti 8 uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta, kiongozi huyo ameitaka mahakama hiyo kutojaribu kuingilia kati majukumu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nguzo ya 7 mitaji ya mafanikio ni muda

Vitu vyote tunavyotaka kufanya iwe ni kupumzika, kulala, kutembea, kwenda kazini au kusafiri popote; tumepewa muda maalum. Lakini, hakuna mtaji au rasilimali muhimu inayopotea bure na kila mara kuliko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nguzo ya 8 ya mitaji ya mafanikio ni mahusiano mema

Pamoja na kufahamu mambo kadhaa ya kufanya peke yangu bila msaada, bado kilichoniwezesha kuandika na kutoa makala haya ni mahusiano mema. Tumezaliwa kutokana na mahusiano, tena mazuri sana, baina ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuru Kenyatta: Mtu mzima akivuliwa nguo, huchutama 

 Ni bahati mbaya sana kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kuwa majaji wa Mahakama ya Juu wameamua kuufuta ushindi wa asilimia 54 aliotangaziwa na Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwenye uchaguzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Funzo la uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Kenya ni kuwa demokrasia hujengwa...

Uamuzi wa tarehe 1 Septemba 2017 wa Mahakama ya Juu ya Kenya kuufuta uchaguzi uliompa ushindi rais aliye madarakani na kuamuru kurejewa upya, umezua maoni mengi na yanayofanana ndani na nje ya taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuru Kenyatta na maafisa wa IEBC waondolewe

Siwezi kuacha asilani masuala ya uchaguzi wa Kenya yanipite bila kutoa maoni yoyote yale. Chaguzi zote za nyuma pia nilitoa maoni na ushauri kupitia vyombo vya habari. Tunakumbuka kuwa siku ya Ijumaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa atatulia akitimiza anachotakiwa

MSOMAJI wa MwanaHALISI, na hasa safu hii, amenijia. Kupitia ujumbe mfupi wa simu ya mkononi, akitumia Na. +255623248721, anasema, “… kwa kuwa CUF walitoa mwanya, yeye ameutumia kujirudisha kwenye kiti…...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukorofi wa CCM unazuia demokrasia

TONY Mwangi hakumchagua Raila Odinga anayewakilisha muungano wa National Super Alliance (NASA). Na wala hakumpendelea Uhuru Kenyatta wa Jubilee. Isitoshe hajachukia wala kujuta. Mpigakura huyu katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miezi 10 bila Ben Saanane

Miezi 10 sasa tangu Ben Saanane apotee. Umoja wa Kizazi cha Kuhoji Tanzania (UTG) tumeshirikiana na vyombo vya dola, taasisi na mashirika ya kiraia katika juhudi za kumtafuta. Tumetoa ushirikiano wote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taifa lisilowaomboleza wahanga wake, haliwezi kuwaadhimisha mashujaa wake

Usiku wa kuamkia tarehe 10 Septemba 2011, meli ya Mv Spice Islander iliondoka kisiwani Unguja kuelekea Pemba ikiwa imejaza kupita uwezo wake halisi. Inasemekana kuwa ndani yake mulikuwa na abiria zaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maisha yasiyotathminiwa hayana maana huyaishi

Ulimwenguni kote na katika zama zote jamii inapokuwa chini ya utawala ulioziba masikio na macho na nyoyo, watawala hupenda waachiwe wafanye watakavyo. Huwa wamejirithisha wenyewe nchi na raia wake. Na...

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live