Siku moja tu baada ya Mahakama ya Juu nchini Kenya kuufutilia mbali uchaguzi wa Agosti 8 uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta, kiongozi huyo ameitaka mahakama hiyo kutojaribu kuingilia kati majukumu ya Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), katika wakati ambapo mpinzani wake, Raila Odinga, anataka tume hiyo ivunjwe kwa kile alichokiita “kutenda uhalifu”.
Filed under: VIDIO Tagged: Kenya, Raila Odinga, Uhuru Kenyatta
