Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Uhuru aiambia mahakama isijaribu kuingilia kati uchaguzi

$
0
0

Siku moja tu baada ya Mahakama ya Juu nchini Kenya kuufutilia mbali uchaguzi wa Agosti 8 uliompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta, kiongozi huyo ameitaka mahakama hiyo kutojaribu kuingilia kati majukumu ya Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), katika wakati ambapo mpinzani wake, Raila Odinga, anataka tume hiyo ivunjwe kwa kile alichokiita “kutenda uhalifu”.


Filed under: VIDIO Tagged: Kenya, Raila Odinga, Uhuru Kenyatta
Uhuru Kenyatta na Mahakama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles