Kuapishwa kwa mkuu mpya wa polisi, IGP Simon Sirro, kuendelea kwa mjadala mkali juu ya hatua ya Rais John Magufuli kuzuwia mchanga wa madini unaosafirishwa nje na kwenye michezo, bado mwangwi ni ushindi wa Simba Sports Club.
Filed under: MAGAZETINI LEO
