Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo 6 Juni 2017 

$
0
0

Kuagwa kwa mwili wa Marehemu Mzee Phelomon Ndesamburo, aliyekuwa mwasisi wa CHADEMA na pia mbunge wa muda mrefu wa Moshi Mjini sambamba na hatua ya Bunge kuwazuwia wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya kuhudhuria vikao hadi mwakani ndizo habari kubwa kwenye safu za mbele za magazeti mengi ya leo, ilhali kwenye safu za michezo, habari kubwa ikiendelea kuwa usajili wa wachezaji kwenye timu za Simba na Yanga. 


Filed under: MAGAZETINI LEO

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Latest Images

Trending Articles