Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

Jeshi la polisi laipasua Zanzibar vipande vipande – CUF

Sisi CUF tunaamini pasipo na shaka yeyote kwamba matukio ya kuchomwa moto kwa masikani na matawi ya CCM huko Pemba ama baadhi ya nyumba za watu binafsi na mali za […]

View Article


Msitupotoshe, Magufuli hajatumbua jipu la BoT

Sifa njema ya taasisi hupatikana kwa mambo mengi ambayo huchukuwa muda mrefu hadi kufahamika kwake kuwa ni miongoni mwa taasisi zenye sifa hiyo. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ni taasisi yenye hadhi sana,...

View Article


Dk. Shein, kioo kitakuambia wewe ni Ali tu

Jumatatu ya tarehe 21 Machi 2016, Dk. Ali Mohamed Shein ataamka mapema kisha atasimama mbele ya kioo chake kujiangalia. Ile taswira kwenye kioo itamuambia: “Wewe ni Ali tu!” Mwangwi wa […]

View Article

“Kinachoendelea Z’bar ni mateso”

Kutokana na hali hiyo kuna kila aina ya uvunjaji wa haki za binadamu unaendelea Zazibar kwa kisingizio cha kudhibiti amani. Kumekuwa na vikundi viovu vikiwavamia wafuasi wa CUF na kuwapiga […]

View Article

CUF yakataa kumeza matapishi

Mbali na kutoshiriki uchaguzi wa marudio unaosimamiwa na ZEC, pia CUF inawataka wanachama, wafuasi wake na wananchi wote kutoshiriki katika uchaguzi wa marudio katika Jimbo la Kijitoupele unaosimamiwa...

View Article


Hatumtambui Shein – CUF

Hatutambui hicho kinachoitwa matokeo ya uchaguzi wa marudio wa tarehe 20 Machi, 2016 na kwa maana hiyo hatumtambui huyo aliyedaiwa kuwa mshindi na kwa msingi huo huo hatutoitambua wala kushirikiana […]

View Article

Miujiza ya busu la Jecha ilivyomgeuza chura kuwa Mwana Mfalme

Miongoni mwa ufahamu wa watu wa kawaida hapa Ulaya kuhusu nchi yangu ni kuwa Zanzibar ni sehemu ya hadithini tu, ambayo ina mambo ya kushangaza na kufurahisha. Kuna hata hadithi […]

View Article

Wanadhulumu na wanataka washangiliwe

HUWAJE jamii inayolazimishwa iukubali uongo au ihalalishe haramu? Imenibidi nijiulize swali hilo na nilitafakari kutokana na ule uitwao “uchaguzi wa marudio” uliofanywa Zanzibar Jumapili iliyopita,...

View Article


Mgogoro wa Zanzibar kumuumbua Kikwete?

HATIMAYE, Dk. Ali Mohamed Shein ametangazwa kuwa “mshindi wa urais” Zanzibar. Aliapishwa Alhamisi iliyopita, anaandika Mwandishi Wetu. Urais wa Dk. Shein unatokana na kilichoitwa “uchaguzi wa marudio”...

View Article


Ndoto Ilipovunjika

Ilipovunjika, ndoto vipande vipande Ikaporomoka, chini kunako mabonde Ikachawanyika, ‘kawacha mavundevunde Lakini… Zilomakinika, nyoyo za wenye dhamira Zikakusanyika, kwa akili na busara Kisha...

View Article

Msiwasaidie waovu kuyavunja Maridhiano ya Wazanzibari

Tarehe 5 Novemba 2009 daima itakumbukwa kuwa ni siku ambayo nchi yetu iliandika historia mpya pale viongozi wawili wazalendo na mashujaa, Dk. Amani Abeid Karume na Maalim Seif Sharif Hamad, […]

View Article

La MCC na unafiki wa wajiitao wazalendo

Wahafidhina mambo leo wamejipa peke yao haki ya kuwa wazalendo wa nchi yetu. Ufuasi wao kwa chama tawala (CCM) na serikali zake wanaufananisha na uzalendo wa kweli kwa Jamhuri ya […]

View Article

Zanzibar chini ya mtutu wa bunduki

SERIKALI ya Umoja wa Kitaifa (SUK) katika Visiwa vya Zanzibar imefikia tamati, anaandika Yusuph Katimba. Uchambuzi wa kisheria unaonesha kuwa utawala wa sasa wa Zanzibar haufuati katiba, na kwamba hata...

View Article


Wa Machi 20 ni uchaguzi uliofeli

Katika mfumo wa kidemokrasia, uchaguzi ni utaratibu wa kupata viongozi wa kikatiba wa nchi husika kama yalivyo mahitaji ya katiba ya nchi hiyo. Na kama ilivyo dhana maarufu ya “mahitaji […]

View Article

La CCM, MCC na Mzee Kazihaiko

Je, unamkumbuka ile hadithi ya Mzee Kazihaiko inayosimulia mwisho wa ujanja na ubabe wa sungura? Hadithi yenyewe inasema hivi: Hapo zamani za kale kulikuwa na shida ya maji kwenye kijiji […]

View Article


Uzalendo unaoibuka kwa kufutiwa misaada ni unafiki

Laiti kama haya ya kufutwa kwa awamu ya pili ya msaada wa kimaendeleo wa shirika la misaada la Marekani (MCC) kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yangelitokea kwa Afrika Kusini wakati […]

View Article

Zanzibar: Twataka wizara ya ubabe na tashtiti

NILIONA ni vyema kwenda Zanzibar kuadhimisha sikukuu adhimu ya Pasaka. Matumaini yangu yalikuwa pia kupata wasaa wa kutathmini hali ya hewa baada ya Uchaguzi wa Marejeo uliofanyika tarehe 20 Machi […]

View Article


Ladha ya Ushindi Wangu

‘Mengia mashindanoni, japo sina mshindani Mikono i kiunoni, nahema ni taabani Nasema ni mzigoni, kumbe ni pweke mbioni Nimeita marafiki, waje wanishuhudie Nikapiga na mimiki, hadi Paje wasikie Sikujua...

View Article

Kambi ya Upinzani Bungeni yatangaza kutomtambua Dk. Shein

Kambi Rasmi ya Upinzani inasema kuwa Dk. Ali Muhammed Shein hana uhalali wa kushika nafasi hiyo kwa sababu matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo yana kila dalili kuwa yalikuwa ni ya […]

View Article

Kuacha kuijadili MCC ni uhaini

Mjadala juu ya hatua ya Shirika la Misaada la Marekani la Changamoto ya Milenia (MCC) kuiondoa Tanzania katika orodha ya nchi zitakazonufaika na awamu ya pili ya misaada inayotolewa na […]

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live