Na Foum Kimara Tunaposema kuna maradhi ya woga wa mabadiliko au chuki tu za kuupandikiza Uarabu kama adui huwa hatukosei. Mwaka huu tutayaona na kuyasikia mengi hasa kwa upande wa Zanzibar. Tena tunaposema mkoloni kaishiwa hoja huthibitika kauli yetu pale wanapoibuka na hoja za ajabu zisizo na mantiki. Tulimsikia waziri anayehusika na uratibu wa bunge … Continue reading Sitta anapoonesha rangi yake halisi
