Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Browsing all 854 articles
Browse latest View live

India, Pakistan: Baina ya mashaka makongwe na matumaini mapya

Mahusiano kati ya Pakistan na India yamekuwa yakitandwa na shaka na tuhuma baina yao tangu mahasimu hao kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1947. Sasa miaka takribani miaka 70 baadaye, kunaonekana […]

View Article


ZEC kamalizeni kujumuisha matokeo, mumtangaze mshindi – Maalim Seif

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, alisema katika vikao vya kuutafutia ufumbuzi mkwamo wa kisiasa Zanzibar vilivyokuwa vikifanyika Ikulu chini ya uenyekiti wa Dkt. Ali […]

View Article


Kwa kiasi gani Zanzibar ni muhanga wa historia?

Inasemwa kwamba mikwamo ya kisiasa na kisheria ambayo huikumba Zanzibar mara kwa mara ina mashiko yake kwenye historia ya visiwa hivi ya kabla ya 1964 na kwamba Wazanzibari wameshindwa kutoka […]

View Article

Makamishna ZEC wapinga uchaguzi wa marudio

Wakati wadau kadhaa wa maswala ya kisiasa wakipinga kile kinachoendelea visiwani Zanzibar, makamishna wawili wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Nassor Khamis na Ayoub Bakar, wameibuika jijini Dar...

View Article

Mahiga ataka wahisani ‘wamlainishe’ Maalim Seif

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga, amewataka washirika wa maendeleo wakishawishi Chama Cha Wananchi (CUF) kishiriki uchaguzi wa...

View Article


APPT-Maendeleo yasusia uchaguzi Zanzibar

Chama cha APPT Maendeleo, kimetangaza rasimi kwamba hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wa marudio kutokana na kupoteza imani na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), baada ya kufuta kibabe matokeo ya uchaguzi wa […]

View Article

Uchaguzi halali ulishafanyika 25 Oktoba – Makamishna ZEC

Maelezo yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi juu ya kufuta Uchaguzi wa tarehe 25 Octoba 2015, hayajaweza kumshawishi hata mtu wa kawaida kuamini kuwa kulikuwa na sababu za msingi […]

View Article

Kikwete azungumza asichokiamini akitutaka tumuamini

Nimekua nikitafakari matamshi ya hivi juzi tu na hotuba ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jakaya Khalfani Mrisho Kikwete mkoani Singida alipokuwa akizungumza kwa kiburi na kusema uchaguzi wa […]

View Article


Maalim Seif ajivua lawama Z’bar

Sasa ni dhahiri. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, ametabiri hatari ya mgawanyiko unaoweza kuikumba Zanzibar, lakini asingependa alaumiwe kwa uamuzi...

View Article


Magufuli: Suluhu pekee ya Zanzibar ni kurudia uchaguzi

Rais John Magufuli amerejelea msimamo wa Chama chake cha Mapinduzi (CCM) kuwa lazima uchaguzi urejewe visiwani Zanzibar, kwani ndiyo “suluhu ya pekee” kwa mkwamo uliopo. Ameyaeleza hayo katika hotuba...

View Article

Magufuli arithi usanii wa JK

Rais John Pombe Magufuli sasa amejidhihirisha rasmi kuwa mrithi wa mtangulizi wake, Jakaya Mrisho Kikwete. Anawaambia mabalozi wa kigeni eti “Watanzania walio wengi wanataka CUF ithibishe kuwa...

View Article

Tuakhirishe uchaguzi kuzipa nafasi taasisi za upatanishi

Sote tunaelewa kwamba visiwa vyetu vya Zanzibar vimeingia katika mgogoro wa uchaguzi na kikatiba, mgogoro ambao chanzo chake ni baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salum Jecha […]

View Article

Lubuva huna tume huru

Hivi karibuni tumemsikia Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya  Uchaguzi, Jaji Lubuva akieleza kuwa uhuru wa Tume unapimwa kwa jinsi Tume husika inavyoendesha uchaguzi bila kuingiliwa, na kwamba Tume yake […]

View Article


Jecha hajiwezi kwa CCM

UFUATILIAJI wangu uliosaidiwa na watoa taarifa serikalini na kwengineko, unanipa jeuri ya kuamini kuwa viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanamdhibiti Jecha Salim Jecha anayeendelea kuitwa...

View Article

Talks on Z’bar should be unconditional

We are encouraged by President John Magufuli’s remarks that the doors for talks on the Zanzibar political impasse are still open. We are encouraged because for a long time the […]

View Article


Mateka wa Boko Haram anapompenda mtekaji wake

Licha ya ukweli kwamba kundi la Boko Haram linafanya mauaji na mashambulizi dhidi ya raia wasio hatia, ikiwemo kuwateka wasichana kwenye maeneo wanayoyavamia nchini Nigeria, Cameroon na Chad, kuna...

View Article

ZEC isiwalazimishe wasiotaka kushiriki uchaguzi

Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa marudio umepangwa kufanyika Machi 20 mwaka huu kuwania nafasi ya urais wa visiwa hivyo, wajumbe wa Baraza la Wakilishi (BLW) na udiwani. Uchaguzi huu umekuja baada […]

View Article


UAE names first minister of state for happiness

Ohood Al Roumi has remit to push national agenda to make the UAE the happiest of all nations, prime minister announces. A woman will lead the United Arab Emirates’ attempt […]

View Article

Baada ya mkonga, sasa ‘e-Health’ kuangamiza mabilioni mengine ya Wazanzibari

Zanzibar ipo hatarini kupoteza mabilioni ya fedha  kufuatia hatua ya baadhi ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kutaka kusaini mkataba na Kampuni ya Kichina ya ZTE juu ya […]

View Article

Umoja wa Ulaya wamgomea Magufuli

Umoja wa Ulaya (EU), umemgomea Rais Dk. John Magufuli, kwa kueleza kuwa msimamo wake ni uliotolewa na washirika wa jumuiya ya kimataifa wa kumtaka kushirikiana na vyama vilivyoshiriki uchaguzi mkuu […]

View Article
Browsing all 854 articles
Browse latest View live