Mkuu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, amesema kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Wanafunzi Tanzania, Abdul Nondo, anashikiliwa na jeshi hilo na atafunguliwa mashitaka ya kuzusha uongo kuwa alitekwa, taarifa ambazo zilizusha taharuki nchini. Zaidi msikilize hapa: