Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Je, sheria ya ardhi Zanzibar inakupa haki gani?

$
0
0

Miongoni mwa masuala yanayozuwa mizozo mikubwa visiwani Zanzibar ni umiliki na uhaulishaji wa ardhi pamoja na mali nyengine zisizohamishika, ambapo matukio mengi ya kudhulumiana yanaripotiwa. Lakini je, sheria ya ardhi inakulindaje na inawezaje pia kukuingiza mtegoni kama hukuzingatia? Fuatana na Wakili Msomi Omar Said Shaaban kwenye mfululizo huu wa Zaima Sheria, ambapo leo anaizungumzia sheria hiyo na mambo inayoambatana nayo.

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles