Katika jitihada ya kuliwezesha kundi kubwa la watoto wenye ulemavu na wale waliotoka kwenye mazingira magumu, Maktaba Kuu nchini Tanzania imeanzisha utaratibu wa kuwapitia mashuleni na mitaani watoto na wanafunzi kwa lengo la kuwafunza masomo mbalimbali kwa njia za kisasa.