Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Hemed Suleiman, amesema kufanya vizuri kwa skuli tatu tu kati ya zaidi ya 20 katika mitihani ya Kidato cha Nne 2017 ndani ya mkoa wake ni jambo la aibu na linalopaswa kuchukuliwa hatua kali kulirekebisha ili lisijirejee. Angalia ripoti ya Kauthar Is-haq kutoka kisiwani Pemba.