Kiongozi wa vuguvugu la Wazanzibari linalohoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rashid Salum Adi, ameuomba Umoja wa Mataifa kumpa hifadhi ya usalama wake wakati huu kesi yao ikikaribia kutajwa kwenye Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki mjini Arusha.
↧