Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Yasemavyo magazeti ya Tanzania leo Juni 30

$
0
0

Miswaada ya Sheria inayotajwa kulinda rasilinali za nchi, mashitaka ya utakatishaji fedha dhidi ya viongozi wa Shirikisho la Soka la Tanzania Bara (TFF) na timu ya Simba Sports Club na kauli za CHADEMA kufuatia mjumbe wake wa Kamati Kuu, Edward Lowassa, kuitwa tena polisi ndizo habari kuu leo. 


Filed under: MAGAZETINI LEO Tagged: Edward Lowassa, Jamal Malinzi, magazeti, Tanzania, TFF

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles