Mwanamke mmoja visiwani Zanzibar anaripotiwa kuamuriwa na mahakama kurudi kwenye ndoa yake ya awali, baada ya kubainika kuwa ameolewa mara ya pili, akiwa bado hajaachika kwenye ndoa ya awali.
Kitendo cha mwanamke kuolewa na mume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja inatambuliwa kama “kupandishia ndoa”.
Ingawa jambo hili halikubaliki kabisa kisheria na kijamii, lakini limekuwa likitokea mara kwa mara kiasi cha sasa kuwa tishio jipya la uhai wa ndoa na familia katika jamii inayotambuliwa kuwa imelelewa kwenye misingi madhubuti ya kimaadili.
Sikiliza mkasa huu unaosimuliwa na mama mzazi wa mume ambaye mkewe ameolewa na mume mwengine akiwa bado hajaachika.
https://m.soundcloud.com/mohammed-k-ghassani/mwanamke-apandishia-ndoa-juu
Filed under: BURUDANI Image may be NSFW.
Clik here to view.

Clik here to view.

Clik here to view.

Clik here to view.

Clik here to view.

Clik here to view.

Clik here to view.
