Katika sehemu hii ya mfululizo wa makala za tiba, leo Sheikh Sultan Al Mendhry anakuelezea sababu muhimu za kuepuka kutumia matibabu yanayomshirikisha Mwenyezi Mungu hata pale ambapo umegunduwa kwamba umesibika na matatizo ya kishirikina. Endelea kumfuatilia.
↧