Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Uhuru na Raila wafikia muafaka

$
0
0

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na kiongozi mkuu wa upinzani, Raila Odinga, wamefanya mazungumzo katika ofisi ya rais jijini Nairobi mchana huu, ikiwa ni kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi mkuu ufanyike mwaka uliopita. Wanasiasa hao wameafikiana kuweka kando tofauti zao za kisasa na badala yake kulijenga taifa, baada ya jamii ya Wakenya kugawika kutokana na matokeo ya uchaguzi huku upinzani ukishikilia kutomkutambua Kenyatta kama rais halali.

 

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles