Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Rwanda ‘yailipa’ Sikukuu ya Eid

$
0
0

Katika hali isiyotarajiwa, serikali ya Rwanda imetangaza kwamba kesho Jumatatu (tarehe 26 Juni) itaendelea kuwa siku ya mapumziko kwa wafanyakazi wa sekta ya umma ili kuwapa nafasi ya kuendelea kuadhimisha Sikukuu ya Eid-ul-Fitr, ambayo iliangukia katika siku ya Jumapili. 
Taarifa iliyotolewa na kusainiwa leo na Waziri wa Kazi na Huduma za Umma, Bi Judith Uwizeye, inasema kuwa raia wanapewa fursa hiyo kwa mujibu wa Sheria ya Rais juu ya Sikukuu za Umma. 
  


Filed under: HABARI Tagged: Eid Mubarak, Eid ul Fitr, Rwanda, sikukuu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles