Habari za Yussuf Manji kurejesha ufukwe wa Coco Beach serikalini, mjadala juu ya mauaji ya Kibiti na pia tathmini ya Edward Lowassa kuhusu utawala wa Rais John Magufuli ndizo zinazoshika nafasi za mbele magazetini leo, huku kwenye michezo kukiendelea kutanda habari za usajili wa timu za soka za Tanzania Bara.
Filed under: MAGAZETINI LEO
