Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Yasemavyo magazeti ya Tanzania 17 Mei 2016

$
0
0

Kurasa nyingi za mbele zinadodosa undani wa kujiuzulu kwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Mecky Sadiq, na majaji wawili uliotangazwa jana na Ikulu ya Magogoni, sambamba na kupandishwa kizimbani kwa Adam Malima, naibu waziri wa zamani wa fedha kwenye serikali ya awamu ya nne, kwa tuhuma za kumzuwia afisa usalama kutekeleza majukumu yake, na huku kurasa za michezo zikirindima ubingwa wa Yanga. 


Filed under: HABARI

Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles