Quantcast
Channel: Zanzibar Daima – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Mapokeo ya Membe, Maalim Seif kwa picha

$
0
0

Maelfu ya wakaazi wa kisiwa cha Unguja wamejitokeza leo kwenye mapokezi ya wagombea wa urais wa Zanzibar na Muungano kupitia chama cha ACT-Wazalendo – Maalim Seif Sharif Hamad na Benard Membe, sambamba na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad, pamoja viongozi wengine wa chama hicho. Angalia tukio zima kwa picha.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 854

Trending Articles