Maelfu ya wakaazi wa kisiwa cha Unguja wamejitokeza leo kwenye mapokezi ya wagombea wa urais wa Zanzibar na Muungano kupitia chama cha ACT-Wazalendo – Maalim Seif Sharif Hamad na Benard Membe, sambamba na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad, pamoja viongozi wengine wa chama hicho. Angalia tukio zima kwa picha.






































































































